Ee ni kweli anauza kwa Yale aliyoyafanya tunayoyajua na tusio yajua ndo twaendelea kuyapata...na kama uanaume wa jk unathibitishwa na kutumia vibaya kodi za wananchi then you are wrong!,,,,
Kuna tz ukifikiria vinaumiza unaweza lia af baadaye tena ukaanza kucheka...masaji papuchi kufua nguo kukandwakandwa million NNE kodi yangu ndo inafanya hii non sense foolish dah
Umbea ni kumuongelea mtu pembeni...sasa gazeti linasomwa na kila mtu af uwe umbea??how??..lkn kumbuka lilikuwa likiandika na ndo mana lilifungiwa na limefunguliwa mwishoni kabisa kikwete anaondoka madarakani...sasa umbea unao uongelea ni upi hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.