Recent content by worthy

  1. W

    Mwenye kujua mishahara ya graduate kwenye mabank

    Hahaa kuna kaukweli umeongea hapo mkuu
  2. W

    Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Dah wacha nicheke mieee
  3. W

    Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Yeah umenichekesha unajua
  4. W

    Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Mawazo gani hayo...kwani kuni ajabu we vipi...
  5. W

    Sakata uuzwaji Coco Beach lageuka, Kubenea aonesha mikataba

    Muulize huyu ambaye anawaza na kufikir kama id yake ilivyo...hawa hawachelewi kuwaambukiza watu hisia za dini...fikra chafu
  6. W

    Sakata uuzwaji Coco Beach lageuka, Kubenea aonesha mikataba

    Acha mawazo mgando...mbona kwa jk hukusema..kama huna hoja kaa kimya ----- wewe usitulete udini.
  7. W

    Kufuru: Kikwete alitumia takribani Milioni 4 kwa siku moja hotelini Serengeti

    Ee ni kweli anauza kwa Yale aliyoyafanya tunayoyajua na tusio yajua ndo twaendelea kuyapata...na kama uanaume wa jk unathibitishwa na kutumia vibaya kodi za wananchi then you are wrong!,,,,
  8. W

    Kufuru: Kikwete alitumia takribani Milioni 4 kwa siku moja hotelini Serengeti

    Kuna tz ukifikiria vinaumiza unaweza lia af baadaye tena ukaanza kucheka...masaji papuchi kufua nguo kukandwakandwa million NNE kodi yangu ndo inafanya hii non sense foolish dah
  9. W

    Kufuru: Kikwete alitumia takribani Milioni 4 kwa siku moja hotelini Serengeti

    Umbea ni kumuongelea mtu pembeni...sasa gazeti linasomwa na kila mtu af uwe umbea??how??..lkn kumbuka lilikuwa likiandika na ndo mana lilifungiwa na limefunguliwa mwishoni kabisa kikwete anaondoka madarakani...sasa umbea unao uongelea ni upi hapo.
Back
Top Bottom