Kati ya Biblia na Quran ipi ilianza? Kama kitabu kimoja kilianza basi cha pili ni copy na paste yake.
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Hapo Allah alikuwa na nani?
Nipe ufafanuzi hapo
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Allah alikuwa na nani hapo au alikosea kuandika? ๐๐๐๐๐๐๐
Viongozi wa Afrika wapumbavu sana. Wanamuona Urusi au mchina ni mtu mwema sana?
Nimesikitika sana.
Ningemuona mwenye akili kama nchi hiyo akiweka huru pasipo kuungana na nchi yyte ile ya magharibi au mashariki.
Ianze kuendesha mambo yake ya nchi yenyewe.
Urusi aliipiga Ukraine kwasabb gani...
Bandari imebinafsishwa milele. Huu ni mkataba wa ovyo ambao haujawi kutokea milele. Kwa maana hiyo imeuzwa bandari.
Aliweka kipengele kwenye katiba viongozi wasishitakiwe, alaaniwe milele na kizazi chake chote
Unamzungumzia Coastal Union, watu hawajui kupiga penati.
Uliona penati aliyopiga Onana na Baleke?
Katafute video uone. Utajua screen protector imewekwa kwenye simu ya Itel yenye Android version ya 4.4.1
Nishakutana na watu waliocheza mgambo. Wengi wanaishia kuwa walinzi wa kampuni binafsi za ulinzi.
Waliobahatika kuwa mgambo mishahara yao ni 80k kwa mwezi lbd wawe wameongezewa lkn haifiki 120k kwa mwezi.
Huko utafundishwa kutumia bunduki, mabomu na mbinu zingine.
Ndiyo maana hupelekwi huko utaleta mawazo sana kwa viongozi maana unakua na vijana wengi, muda wwte kinaweza kinuka.
Unapelekwa mgambo ukafundishwe kutumia rungu ili ukitoka huko usiwe na hatari yyte kwa jamii
Mpaka uajiriwe kwenye halmashauri zao kukamata wamachinga.
Siyo wote wanaoajiriwa. Kwenye 20 anaweza kuchukuliwa 1 tu, wengine wakapambane na hali zao. Ndiyo hao unawakuta walinzi wa kampuni fulani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.