Recent content by Wong Fei

  1. Wong Fei

    Leo tarehe 15 August Wakristo Wanaadhimisha Sikukuu Ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria

    Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity" ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
  2. Wong Fei

    Airtel 5G - Bundle imeisha ndani ya sekunde 10

    Haka ka kitu kanaokoa sana. Nishasahau kununua bando kwenye simu. Kuperuzi, telegram, wasapu n.k kanaokoa sana
  3. Wong Fei

    Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

    ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"
  4. Wong Fei

    Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

    Kati ya Biblia na Quran ipi ilianza? Kama kitabu kimoja kilianza basi cha pili ni copy na paste yake. Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. " Hapo Allah alikuwa na nani?
  5. Wong Fei

    Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

    Inatumia wingi siyo kuonesha ukubwa wake bali kuna kundi lipo linashirikiana naye
  6. Wong Fei

    Leo tarehe 15 August Wakristo Wanaadhimisha Sikukuu Ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria

    Nipe ufafanuzi hapo Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. " Allah alikuwa na nani hapo au alikosea kuandika? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
  7. Wong Fei

    Ardhi ya nyumbani, ama kifo maneno kutoka kwa rais wa Burkina Faso

    Viongozi wa Afrika wapumbavu sana. Wanamuona Urusi au mchina ni mtu mwema sana? Nimesikitika sana. Ningemuona mwenye akili kama nchi hiyo akiweka huru pasipo kuungana na nchi yyte ile ya magharibi au mashariki. Ianze kuendesha mambo yake ya nchi yenyewe. Urusi aliipiga Ukraine kwasabb gani...
  8. Wong Fei

    Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

    Ni mwarabu mweusi. Waarabu weupe ni wajomba zake ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
  9. Wong Fei

    Kwanini Rais Samia Hassan hadi sasa hajatoa tamko rasmi kuhusu mkataba wa DP World

    Bandari imebinafsishwa milele. Huu ni mkataba wa ovyo ambao haujawi kutokea milele. Kwa maana hiyo imeuzwa bandari. Aliweka kipengele kwenye katiba viongozi wasishitakiwe, alaaniwe milele na kizazi chake chote
  10. Wong Fei

    Timu bora imepoteza mechi kwa penalti, mashabiki na wanachama msihuzunike mnayo timu bora msimu huu

    Unamzungumzia Coastal Union, watu hawajui kupiga penati. Uliona penati aliyopiga Onana na Baleke? Katafute video uone. Utajua screen protector imewekwa kwenye simu ya Itel yenye Android version ya 4.4.1
  11. Wong Fei

    MOSCOW: Thamani ya Sarafu ya Urusi yaanguka kuliko ilivyotarajiwa dhidi ya Dola ya Marekani

    Lbd kenya, Rwanda na Burundi. Tofauti na hapo, mfumo wa upokeaji hela ni mgumu sana.
  12. Wong Fei

    Kuna mtu humu amewahi kusaidiwa na bwana Rakims?

    Kwanini maostaz wanauza dawa za kienyeji?
  13. Wong Fei

    Mkuu wa Wilaya Tanganyika na kamati ya ulinzi na usalama acheni kulazimisha vijana kujiunga na mafunzo ya mgambo

    Nishakutana na watu waliocheza mgambo. Wengi wanaishia kuwa walinzi wa kampuni binafsi za ulinzi. Waliobahatika kuwa mgambo mishahara yao ni 80k kwa mwezi lbd wawe wameongezewa lkn haifiki 120k kwa mwezi.
  14. Wong Fei

    Mkuu wa Wilaya Tanganyika na kamati ya ulinzi na usalama acheni kulazimisha vijana kujiunga na mafunzo ya mgambo

    Huko utafundishwa kutumia bunduki, mabomu na mbinu zingine. Ndiyo maana hupelekwi huko utaleta mawazo sana kwa viongozi maana unakua na vijana wengi, muda wwte kinaweza kinuka. Unapelekwa mgambo ukafundishwe kutumia rungu ili ukitoka huko usiwe na hatari yyte kwa jamii
  15. Wong Fei

    Mkuu wa Wilaya Tanganyika na kamati ya ulinzi na usalama acheni kulazimisha vijana kujiunga na mafunzo ya mgambo

    Mpaka uajiriwe kwenye halmashauri zao kukamata wamachinga. Siyo wote wanaoajiriwa. Kwenye 20 anaweza kuchukuliwa 1 tu, wengine wakapambane na hali zao. Ndiyo hao unawakuta walinzi wa kampuni fulani
Back
Top Bottom