Recent content by Wong Fei

  1. Wong Fei

    Quran 15:26 na 15:27

    Queen au king huu ni utawala ambao hujumuisha viongozi wengi ndani yake (kundi la watu) Kumbuka King au Queen hatoi maamuzi pekee yake ndiyo maana anatumia wingi kutoa maamuzi kuwajumuisha kundi la watu wake.
  2. Wong Fei

    Quran 15:26 na 15:27

    Kama una mtoto mdogo hapo nyumbani na yupo pekee yake. Muulize hivi Mwanangu mpendwa unafanya nini? Ila wewe muulize hivi wanangu wapendwa mnafanya nini? Hapo zingatia mtoto ni mmoja na yupo peke yake anacheza Kama atatumia wingi badala ya umoja kukujibu basi hata huyo mshona viatu atatumia...
  3. Wong Fei

    Quran 15:26 na 15:27

    Lugha ina maneno ya umoja na wingi. Naenda, tunaenda, nakuja, tunakuja. Soma vizuri hiyo namba 2 utagundua kuwa Queen au King hayupo pekee yake. Kuna washauri wake au watu watakaofanya maamuzi pamoja na king au queen
  4. Wong Fei

    Quran 15:26 na 15:27

    Waislamu mnisaidie hapa. Allah alikuwa na nani kipindi wanawaumba majini na mtu? Quran 15:26 Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. 15:27 Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. Quran 7:11 Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura...
  5. Wong Fei

    Hivi inawezekana mtoto kumzidi Baba ake mzazi miaka miwili? Au mimi ndo sielewi? Ufafanuzi tafadhari

    Quran 15:26 Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura. 15:27 Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto. Hapa allah alikuwa na nani kipindi wanamuumba mwanadamu na majini?
  6. Wong Fei

    PostGE2025 TEC na Kanisa Katoliki mnasema Serikali hii ni haramu. Kwanini mnaendelea kuvuna mabillion ya fedha kila mwezi kutoka serikalini? Hiyo MoU ivunjwe

    Nilishangaa Imaan TV inajadili kuhusu hospital za wakatoliki lakini wao hawana hata hospitali hata moja nchi😀😀😀 Wakiumwa waislamu wanaenda kwenye hizo kutibiwa. Jibu Hapo ni waislamu wote kugoma kutibiwa kwenye hospitali za makafiri😀😀😀😀 Hawateweza tena TEC kuingiza mabilion maana zikufa kwa...
  7. Wong Fei

    Hivi inawezekana mtoto kumzidi Baba ake mzazi miaka miwili? Au mimi ndo sielewi? Ufafanuzi tafadhari

    1. Simu unayotumia kuchart JF imetengenezwa na makafiri 😀😀 2. Hii forum unayotumia imetengenezwa na kafiri 😁😁😁😁 3. Internet unayotumia kuchart sasa hivi JF imetengenezwa na makafiri 😁😁😁 4. Huu muda yaani tarehe, mwezi na mwaka ni ya Gregorian Calender (kafiri ndiyo ametengeneza) 😁😁😁 5...
  8. Wong Fei

    Ni shughuli pevu kuwakwepa Israel kwenye teknolojia. Tazama jinsi bendera ya Israel ilivyofichwa kwenye CHATGPT

    Hicho ndicho mlichobakiza😀😀😀 Wenzako wavaa kobazi waliandamana jana Free Palestina. 😀😀😀 Gaza haiwezi kuachiwa mpk mateka wapatikane, kujua wapi waliko, ikipita muda mtoa roho Israel anapita na wapalestina Gaza inatia huruma, imebaki wazi kama ule wa kwenye msikiti Ingia Youtube, tafuta Gaza...
  9. Wong Fei

    Ni shughuli pevu kuwakwepa Israel kwenye teknolojia. Tazama jinsi bendera ya Israel ilivyofichwa kwenye CHATGPT

    Tatizo huwa hamtaki kuambiwa ukweli. Hao wapalestine inabidi warudi kwao walikotoka maana kabla na kipindi cha Yesu kristo hakukuwa na kabila la wapalestine😀😀😀😀
  10. Wong Fei

    Alipewa kitengo cha kutuma SMS kuhusu uchaguzi anafanya kweli ila raia hatuna mpango huo wa uchaguzi

    Kuna mkoa mmoja hivi, boda boda na bajaji kipindi anakuja mwenyekiti, walikuwa wanazunguka mitaani kupeperusha bendera za kijani. Jioni bodaboda walikuwa zaidi ya 200, wote walipewa 20,000 cash hapo bado bajaji. Huyu mazeri katoa baiskeli, pikipiki na nguo. Kodi inatumika vibaya
  11. Wong Fei

    Makampuni ya magari yamekuja na utapeli mpya wa features subscription!

    Waarabu, warusi, wairan, wachina na North Korea wametengeneza magari mazuri sana. Hizo features unatumia bure Mimi ninayo gari imetengenezwa Iran, ni nzuri na hizo features natumia bure kabisa
  12. Wong Fei

    Alipewa kitengo cha kutuma SMS kuhusu uchaguzi anafanya kweli ila raia hatuna mpango huo wa uchaguzi

    Ukiwasha TV unakutana matangazo umchague mwenyekiti wa ccm, radio hivyo hivyo. Huyu mazeri anahangaika sana mpk kero, sasa hapo hana mgombea wa upinzani yupo peke yake. Angekuwepo sasa? Kodi za wananchi zinatumika vibaya sana
  13. Wong Fei

    Vale Nafaka binti mrembo anayeuza Nafaka

    Unataka afanye kazi gani?
  14. Wong Fei

    KERO Hivi hakuna namna hawa Halotel wakafukuzwa nchini?

    Hapo toa Airtel weka Tigo. Airtel inakera kwenye internet
  15. Wong Fei

    KERO Hivi hakuna namna hawa Halotel wakafukuzwa nchini?

    Kuna Airtel hao ndiyo balaa. File la mb 100 kuupload unaweza kutumia siku 2.
Back
Top Bottom