Queen au king huu ni utawala ambao hujumuisha viongozi wengi ndani yake (kundi la watu)
Kumbuka King au Queen hatoi maamuzi pekee yake ndiyo maana anatumia wingi kutoa maamuzi kuwajumuisha kundi la watu wake.
Kama una mtoto mdogo hapo nyumbani na yupo pekee yake. Muulize hivi
Mwanangu mpendwa unafanya nini? Ila wewe muulize hivi wanangu wapendwa mnafanya nini? Hapo zingatia mtoto ni mmoja na yupo peke yake anacheza
Kama atatumia wingi badala ya umoja kukujibu basi hata huyo mshona viatu atatumia...
Lugha ina maneno ya umoja na wingi.
Naenda, tunaenda, nakuja, tunakuja.
Soma vizuri hiyo namba 2 utagundua kuwa Queen au King hayupo pekee yake. Kuna washauri wake au watu watakaofanya maamuzi pamoja na king au queen
Waislamu mnisaidie hapa. Allah alikuwa na nani kipindi wanawaumba majini na mtu?
Quran 15:26
Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
15:27
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Quran 7:11
Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura...
Quran 15:26
Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
15:27
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Hapa allah alikuwa na nani kipindi wanamuumba mwanadamu na majini?
Nilishangaa Imaan TV inajadili kuhusu hospital za wakatoliki lakini wao hawana hata hospitali hata moja nchi😀😀😀
Wakiumwa waislamu wanaenda kwenye hizo kutibiwa.
Jibu
Hapo ni waislamu wote kugoma kutibiwa kwenye hospitali za makafiri😀😀😀😀 Hawateweza tena TEC kuingiza mabilion maana zikufa kwa...
1. Simu unayotumia kuchart JF imetengenezwa na makafiri 😀😀
2. Hii forum unayotumia imetengenezwa na kafiri 😁😁😁😁
3. Internet unayotumia kuchart sasa hivi JF imetengenezwa na makafiri 😁😁😁
4. Huu muda yaani tarehe, mwezi na mwaka ni ya Gregorian Calender (kafiri ndiyo ametengeneza) 😁😁😁
5...
Tatizo huwa hamtaki kuambiwa ukweli.
Hao wapalestine inabidi warudi kwao walikotoka maana kabla na kipindi cha Yesu kristo hakukuwa na kabila la wapalestine😀😀😀😀
Kuna mkoa mmoja hivi, boda boda na bajaji kipindi anakuja mwenyekiti, walikuwa wanazunguka mitaani kupeperusha bendera za kijani.
Jioni bodaboda walikuwa zaidi ya 200, wote walipewa 20,000 cash hapo bado bajaji. Huyu mazeri katoa baiskeli, pikipiki na nguo. Kodi inatumika vibaya
Waarabu, warusi, wairan, wachina na North Korea wametengeneza magari mazuri sana. Hizo features unatumia bure
Mimi ninayo gari imetengenezwa Iran, ni nzuri na hizo features natumia bure kabisa
Ukiwasha TV unakutana matangazo umchague mwenyekiti wa ccm, radio hivyo hivyo.
Huyu mazeri anahangaika sana mpk kero, sasa hapo hana mgombea wa upinzani yupo peke yake. Angekuwepo sasa? Kodi za wananchi zinatumika vibaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.