Inaniumaga sana kwamba na mi ni mtanzania aisee, yan nchi haieleweki viongozi wanajijali wao tu na siku hz ubabe mwingi yan hata kademokrasia kalikokuwepo kanachukuliwa hivo, mwanzo nilidhani hii serikali itaufanya tanzania kuwa na mwelekeo mzuri lakini si hivyo tena nachoona ni kuwa tunaelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.