Habari watu wangu wa nguvu baada ya kupigwa ban ya nguvu kabisa sasa nmeludi tena hapa na niwatoe hofu mm ni mzima kabisa naendelea na majukumu yangu kama kawaida natumai mu wazima wa afya
Sasa kuna hili jambo naona halijakaa sawa kabisa ivi inakuaje mwanamke mzurii na unaejielewa unavaa boxer...
Na wazazi wengine usipowatumia pesa wana waka kama mbogo wengine hufika mbali zaidi wakisema kama hutumi pesa basi tafuta mama mwingine ye sio mama yako tena wakati huo umefanya kazi na bos kakupiga shoka wengine wakijua upo mjini wanajua una pesa kumbe chenga ila hamna namna ni kupambana tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.