Recent content by WOLF WARRIOR

  1. WOLF WARRIOR

    Ndani ya CCM mambo si shwari

    Jana ulikunywa nini maana naona bado una hangover!
  2. WOLF WARRIOR

    Kwanza TV yafungiwa kwa miezi sita. Millard Ayo na Watetezi TV zapigwa faini

    Safi sana, taratibu tutaelewana. Bado yeye mwenyewe
  3. WOLF WARRIOR

    Afande Sirro tafadhali mtake radhi Afande Mambosasa

    Sawa ndugu Mambosasa,au wewe utakuwa Bashite
  4. WOLF WARRIOR

    Rais Magufuli afanya uteuzi na kutumbua. Dr. Bana, Kipilimba waula. RC Kebwe wa Morogoro achinjiwa baharini

    Kigogo alisema yupo under house arrest na kwamba soon anaburuzwa mahakamani
  5. WOLF WARRIOR

    Uchambuzi kuhusu Dkt Magufuli kumteua Dkt Kipilimba kuwa DG wa TISS

    All i in all namtakia kila la kher sponsor
  6. WOLF WARRIOR

    Uchambuzi kuhusu Dkt Magufuli kumteua Dkt Kipilimba kuwa DG wa TISS

    Kwanini aliondolewa kwenye post ya DCI?Unamaanisha wanausalama wote are innocent?
  7. WOLF WARRIOR

    Uchambuzi kuhusu Dkt Magufuli kumteua Dkt Kipilimba kuwa DG wa TISS

    Bahati mbaya na nzuri kwangu tupo JF and not Twitter,ni kawaida yako ukiambiwa ukweli unapanic na kutoa povu. Hivi nani hajui jitihada zako kuomba kusamehewa madhambi yako dhidi ya Tanzania?Unadhani ulichokifanya ulikuwa sahihi?utabaki kuisikia Tanzania,na nikwambie kurudi Tanzania ni ndoto...
  8. WOLF WARRIOR

    Uchambuzi kuhusu Dkt Magufuli kumteua Dkt Kipilimba kuwa DG wa TISS

    Yes it's easier to get to know him in details. Sijui kwann ila kiukweli binafsi siwezi kumwamini mtu anayeitwa askari polisi au aliyepitia jeshi la polisi. Kwa muktadha huo namweka kwenye kundi lilelile,najua kama ni kubadilika ni kipindi hiki cha mzee na haswa akiwa DG TAKUKURU.
  9. WOLF WARRIOR

    Uchambuzi kuhusu Dkt Magufuli kumteua Dkt Kipilimba kuwa DG wa TISS

    Jamani Pascal ni mfukunyuaji,unapenda sana kuwavua watu nguo. X-Spy alimsifia sana Dkt Kapilimba,na niseme tu alifanya hivyo akitegemea kupata favor ya kusamehewa na kuondoka kwenye blacklist. Bahati mbaya mzee wa watu alivyoletewa portfolio ya EC akakutana na makubwa hivyo akaendelea kumweka...
  10. WOLF WARRIOR

    Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

    Duh we ni kiazi aisee. Hizo tetesi umezikia wapi na lini? Huyo ni Mura
Back
Top Bottom