Kwa kudhihirisha unatafta publicity ya tahmeed ndo maana unatukana sasa kati ya wewe na wadada wa Kilimanjaro unaowaponda nani hajui customer care??????....koz ya kwenye gari wanasikia abiria tuu je hapa kwenye mtandao wa kijamii niwangapi wanayaona majibu yako then unataka utuaminishe kua nyie...
Nilichojifunza hapa kua huyo falcon Mombasa anafanya kujitangaza kupitia mgongo wa Kilimanjaro na wakati mwingine ukiona mtu anamponda mwenzie badala ya kusema yake basi ujue kua huyo anaesemwa ni zaidi na tishio kwake sasa kama nauli zao za kutoka dar to Arusha ni 25,000 to 22,000 mbona bei...
Katika kipindi hiki kifupi chenye mambo mengi kwa taifa letu ikulu haiwezi sema lolote koz kila mtu anafikiria nijinsi gani atarudi ofisini kwake baada ya uchaguzi kwisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.