Recent content by Witmak255

  1. Witmak255

    Mnaohonga sana, mnafanya maisha kuwa magumu

    Unanikumbusha mbali sana, kuna siku nilienda Warehouse Arena - Masaki kula vitu, nimekula vitu macho yangu yakamuona dada mmoja mrembo. Sikutaka mambo yawe mengi nikamuingia kwa gia ya kumnunua akagomagoma baada ya mda akajaa nikaenda nae gheto, nikampima nikala mzigo. Demu akanizimikia Tangu...
  2. Witmak255

    Kwanini Mmiliki wa Samaki Samaki kapewa Kuwekeza Coco Beach sasa ila Kipindi cha Hayati Magufuli hakupewa?

    Maskini wana roho mbaya sana, hila na tabia za kichawi. Ushauri wangu kwa vijana,ukifanikiwa usijenge wala kukaa mitaa ya maskini. usiponielewa leo utanielewa kesho
  3. Witmak255

    Wamiliki wa lodge kuweni serious

    Nilienda musoma, kufika nikaulizia wenyeji Hotel nzuri kwa ule mji nikapumzike Nikapelekwa Le grand Victoria, kwa nje inaonekana nzuri kidogo nikalipa kuingia ndani aisee
  4. Witmak255

    Mwanamke aamka kwenye Jeneza muda mfupi kabla ya kuzikwa

    Lazma kuna watu watakuwa wanawekwa mochwari wakiwa hawajakata moto
  5. Witmak255

    Mbinu wanayofanya Panya Road

    Nakazia hapa
Back
Top Bottom