Unapoamua kuandika kiswahili andika kiswahili tu usichanfanye lugha ndio maana muandikaji mwenyewe anachindwa kuelewa alichokiandika ikizingatia English is a second language kwa watanzania na sio lugha yeti ya kwanza hizo Masada nyingine waachie wenyewe wazungu wachangie msizilete hapa...
Sitasahau ex-boyfriend alivyoniambia wapigie simu rafiki zako kwamba akutakuwa na engagement tena. Maana hats ukiolewa utatoka nje ya ndoa. Huyu ni MTU ambaye kwa kipindi cha miaka minne niliyekuwanaye aliwai kiniambia we we ujui Nina plan gani na maisha na wewe . na akasema meyabadilisha maisha...
Thanks so much for the beautifully message cause it has been eight months I'm still dealing with broke up. Baada ya kusoma ujumbe hapo juu nimefarijika na nimepata faraja. I'm gonna let go and move on with my life.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.