Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,232
- 137,638
Jana mishale ya jioni nilienda kwenye bike trail kunyoosha miguu na kupunga upepo.
Wakati natembea nikamkuta mdada mmoja amekaa kwenye benchi huku akionekana ana simanzi.
Mkononi alikuwa kashikilia iPod na alikuwa akiangalia video, music video to be precise.
Nikasimama nakumsalimia naye akaitikia salamu yangu kwa sauti ya upole.
Ndo nikamwuliza kulikoni....naye akanijibu kwa kunambia ni hadithi ndefu.
Nikamwuliza anaangalia music video gani, naye akanijibu akanambia 'I bet' ya Ciara.
Akaendelea kunambia kuwa anaupenda sana huo wimbo kwani unampa faraja kila ausikiapo kwa sababu ni kama vile aliandikiwa yeye na kwamba anautumia kwa sasa kuweza kuvuka kipindi cha mpito (kuhusu uhusiano wake uliovunjika) alichonacho.
Nami nikamwuliza je, hiyo ndo breakup anthem ya akina dada kwa wakati huu? Akajibu kwa bashasha na kusema 'ndiyo'.
Na nyie wadada wa humu huwa mna breakup anthems zenu? Kama mnazo, ni zipi?
*But I must say this though, me being me I think Ciara's mammaries look scrumptious. They look like they've been done but who the hell cares? I for sure don't.*
Last edited by a moderator: