Hapana mkuu, ijapokuwa ni nyumba za kupanga, ila wenye nyumba wanatakiwa waendane na hali ya sasa (kubadilika kulingana na mazingira), walau mlango uwe mkubwa ikishindikana 100, but mostly, weka 120 upana iwe milango ya double, kunakuwepo na urahisi wa kuingiza vifaa kama makochi, friji nk. Hili...