Recent content by wiseman734

  1. W

    Mpenzi wangu nimemkuta anabebwa na 'Beach Boy'

    Mtoa mada una uhakika unataka kuoa!?? Una umri gani!??
  2. W

    Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

    Dada dawa ni operation, usijidanganye na miti shamba
  3. W

    Michango kuwanusuru viongozi: CHADEMA imekubali hatia?

    Mtoa mada ipo hivi hukumu iliyotolewa leo haiwezi kutenguliwa kwa kusudio la mshtakiwa kukata rufaa!! Kisheria hukumu huwa inatekelezwa huku taratibu za rufaa zikiendelea!! Hukumu ya awali itabatilishwa na hukumu ya mahakama ya juu zaidi kwenye shauri hilo!! Ndipo utekelezaji wa adhabu ya awali...
  4. W

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tunashukuru sana REA kwa kutuwekea nguzo hali inayotutia moyo kuwa huduma ipo karibu!! Haya ni matunda ya uchapakazi wa viongozi wa awamu hii. Tunaomba basi muweze kulimalizia zoezi lenu hili mkoa huu wa Pwani mtuwekee nyaya na kutuwekea umeme sisi wananchi.
  5. W

    "Graduates" karibuni sana mtaani

    Fresh Graduates mpo!?? Njooni mkasome hapa
  6. W

    Swali la ugomvi:Je ulishawahi kwenda kupima HIV na mwenzi wako ukakuta mwenzi ameathirika!?

    Kuna watu wakiona maada za Ukimwi hawazifungui kabisaaa
  7. W

    Swali la ugomvi:Je ulishawahi kwenda kupima HIV na mwenzi wako ukakuta mwenzi ameathirika!?

    Kama kichwa kinanavyojieleza, umeshawahi kwenda kupima na mwenzi wako majibu yakawa mabaya kwa mmoja wenu!?? Je ulifanyaje baada ya kupewa majibu!?? -------------------------------------------------------- Ilikuwa 2017 mwezi wa sita tarehe 27 nikaopoa chombo, nikpiga kwa kutumia zana! Asubuhi...
  8. W

    Naomba kuelimishwa kuhusu upimaji Ukimwi

    Kapime sio unataka kuulizia humu
  9. W

    Kuna kipimo kikubwa cha Ukimwi?

    Elisa rapid test ni combination ya antibody na antigen uwezo wake ni kuanzia siku 11
Back
Top Bottom