Mtoa mada ipo hivi hukumu iliyotolewa leo haiwezi kutenguliwa kwa kusudio la mshtakiwa kukata rufaa!! Kisheria hukumu huwa inatekelezwa huku taratibu za rufaa zikiendelea!!
Hukumu ya awali itabatilishwa na hukumu ya mahakama ya juu zaidi kwenye shauri hilo!! Ndipo utekelezaji wa adhabu ya awali...
Tunashukuru sana REA kwa kutuwekea nguzo hali inayotutia moyo kuwa huduma ipo karibu!! Haya ni matunda ya uchapakazi wa viongozi wa awamu hii.
Tunaomba basi muweze kulimalizia zoezi lenu hili mkoa huu wa Pwani mtuwekee nyaya na kutuwekea umeme sisi wananchi.
Kama kichwa kinanavyojieleza, umeshawahi kwenda kupima na mwenzi wako majibu yakawa mabaya kwa mmoja wenu!?? Je ulifanyaje baada ya kupewa majibu!??
--------------------------------------------------------
Ilikuwa 2017 mwezi wa sita tarehe 27 nikaopoa chombo, nikpiga kwa kutumia zana! Asubuhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.