wiseman734
Senior Member
- Apr 29, 2018
- 137
- 210
Kama kichwa kinanavyojieleza, umeshawahi kwenda kupima na mwenzi wako majibu yakawa mabaya kwa mmoja wenu!?? Je ulifanyaje baada ya kupewa majibu!??
--------------------------------------------------------
Ilikuwa 2017 mwezi wa sita tarehe 27 nikaopoa chombo, nikpiga kwa kutumia zana! Asubuhi condom ikapasuka bhana.. Nikamwambia tukapime! Nikakomaa akawa hana namna! Tukaenda kutolewa damu tukakaa tukingoja majibu! Halafu hapo nimekamia game tena nawaza naenda kula kavu kavu! After 30 minutes si akaitwa akatolewa damu tena!! Muda wa majibu ukafika demu ameungua!!! Hakushtuka wala hakuwa na wasisi wasi!!! Nusu nizimie! Nikapewa PEP for 27 days!!!
Mpaka 2017 inaisha nilipima ngoma more than 20 times mpaka pale hospitali walinikataza nisipime maana it was too much
Pia nilisoma makala nyingi mnoo kuhusu HIV/AIDS
Sithubutu tena
--------------------------------------------------------
Ilikuwa 2017 mwezi wa sita tarehe 27 nikaopoa chombo, nikpiga kwa kutumia zana! Asubuhi condom ikapasuka bhana.. Nikamwambia tukapime! Nikakomaa akawa hana namna! Tukaenda kutolewa damu tukakaa tukingoja majibu! Halafu hapo nimekamia game tena nawaza naenda kula kavu kavu! After 30 minutes si akaitwa akatolewa damu tena!! Muda wa majibu ukafika demu ameungua!!! Hakushtuka wala hakuwa na wasisi wasi!!! Nusu nizimie! Nikapewa PEP for 27 days!!!
Mpaka 2017 inaisha nilipima ngoma more than 20 times mpaka pale hospitali walinikataza nisipime maana it was too much
Pia nilisoma makala nyingi mnoo kuhusu HIV/AIDS
Sithubutu tena