Samahani wadau Mimi ni mshiriki wa andiko stories of change na andiko langu linakwenda kwa jina la NANI ATAWAFUTA MACHOZI WASOMI TANZANIA? Naomba unishike mkono kwa kunipigia kura,asante
Jamani habarini, nimeshiriki uandishi wa stories of change heading yangu inakwenda kama "NANI ATAWAFUTA MACHOZI WASOMI TANZANIA?"Naomba kura zenu,asanteni
Ndugu wasomi wa Tanzania napenda kuwapa pole kwa taharuki hii iliyowafika. Najua mlipambana vilivyo bila kujali nvua au jua ilimradi tu mpate kufikia azma,malengo na kiu yenu kubwa ya kuishi kama Wafalme baadaye kama usemavyo ule usemi wa wahenga kwamba "baada ya dhiki faraja" au "mchumia juani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.