Recent content by Wisegirl22

  1. W

    Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

    Jamani wadau Mimi heading yangu Ni "NANI ATAWAFUTA MACHOZI WASOMI TANZANIA? naomba unishike mkono kwa kunipigia kura zenu Asante
  2. W

    Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

    Samahani wadau Mimi ni mshiriki wa andiko stories of change na andiko langu linakwenda kwa jina la NANI ATAWAFUTA MACHOZI WASOMI TANZANIA? Naomba unishike mkono kwa kunipigia kura,asante
  3. W

    SoC02 Nani atawafuta machozi wasomi Tanzania?

    Jamani wadau naombeni kura zenu
  4. W

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Jamani habarini, nimeshiriki uandishi wa stories of change heading yangu inakwenda kama "NANI ATAWAFUTA MACHOZI WASOMI TANZANIA?"Naomba kura zenu,asanteni
  5. W

    SoC02 Nani atawafuta machozi wasomi Tanzania?

    Naamini iko vizuri sana
  6. W

    Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

    Jana nikituma uzi wangu stories of change lakini siuoni nisaidieni nifanyeje
  7. W

    SoC02 Nani atawafuta machozi wasomi Tanzania?

    Ndugu wasomi wa Tanzania napenda kuwapa pole kwa taharuki hii iliyowafika. Najua mlipambana vilivyo bila kujali nvua au jua ilimradi tu mpate kufikia azma,malengo na kiu yenu kubwa ya kuishi kama Wafalme baadaye kama usemavyo ule usemi wa wahenga kwamba "baada ya dhiki faraja" au "mchumia juani...
  8. W

    Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

    Swali zuri make mi mwenyewe nahangaika hapa hata sielewi,kujeni wadau mtuelekeze
  9. W

    Pendekezo: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi

    Yaani Kuna watu huwa ni wasahaulifu Sana wao kwao rais hakosei yan kila analofanya Ni sahihi jamani hebu tuwe sirious kdg
  10. W

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Hi everybody Asanten
  11. W

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Kweli dunia ina mambo
Back
Top Bottom