Hawa walikosea tangu mwanzo walipoingiza channels nyingi tu za kiislam kasoro chanel ya kikristo hata moja tu
Na ndio maana mimi hata kama ningetamani kununua Azam walau kwa ajili ya ligi,
Niliona ni afadhali nikajinunulie Statimes!
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalizo kwa hii dhana ya mahari huwa haiishi! Mkishakubaliana kuwa mahari labda hiyo 2m mfano,inawekwa kwenye maandishi. Hivyo ni deni kama madeni mengine tu.
Kwanza deni huwa na kawaida ya kumfanya mdaiwa kuwa mtumwa,so unaweza kufanywa mtumwa wa mashemeji na hata kuwapa jeuri baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.