Recent content by wise2nd

  1. W

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Nina imani na Pep, yeye ni kocha mwenye uwezo mkubwa sana, najua kashawasoma inter anaweza kubadilisha mfumo ghafla akawashangaza
  2. W

    Dawasa wanatupiga

    Mimi nimekuwa nikilalamika sana kuhusu hili kwakweli
  3. W

    Sheikh wa Wilaya ya Tanga awaomba waumini kutotumia Sanitizer kabla ya swala maana ina kilevi

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. W

    Azam TV sio kila mteja wenu ni islamic

    Hawa walikosea tangu mwanzo walipoingiza channels nyingi tu za kiislam kasoro chanel ya kikristo hata moja tu Na ndio maana mimi hata kama ningetamani kununua Azam walau kwa ajili ya ligi, Niliona ni afadhali nikajinunulie Statimes! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. W

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Tukiendelea hivi si tunaweza kufungwa hata 6? Na hii ina maana gani basi liver wanaweza kututoa? Dah! Sijatarajia kabisa yani
  6. W

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Dak 45 za mwazo zimeisha!
  7. W

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Nipeni tathimini yenu wadau mnadhani nini tatizo? City vs Liver 0-3
  8. W

    Hanitaki kisa siamini sina hofu ya Mungu

    Imeandikwa katika Zaburi kuwa, 'Mpumbavu amesema moyoni mwake HAKUNA MUNGU'
  9. W

    Hivi watu wa hali ya chini wanawezaje kuoa na hizi mali?

    Angalizo kwa hii dhana ya mahari huwa haiishi! Mkishakubaliana kuwa mahari labda hiyo 2m mfano,inawekwa kwenye maandishi. Hivyo ni deni kama madeni mengine tu. Kwanza deni huwa na kawaida ya kumfanya mdaiwa kuwa mtumwa,so unaweza kufanywa mtumwa wa mashemeji na hata kuwapa jeuri baadhi ya...
Back
Top Bottom