Hanitaki kisa siamini sina hofu ya Mungu

Hanitaki kisa siamini sina hofu ya Mungu

Huyo ana haki ya kukukataa coz hujaenda kwake kuhubiri dini.

Unatakiwa ufate ulichokitaka, mambo ya dini yatakaaa sawa tuu huko mbeleni.

Imani ina nafasi kubwa sana kwenye mahusiano, unadhani wanaoachana sababu ya tofauti za imani wali date kuhubiriana dini?
Kama unajua mnatofautiana imani na hakuna alie tayari kufata mwenzie bora kuachana mapemaaaa! Mana ugomvi usipoanzia kwenu wenyewe utakuja watoto wakizaliwa, yani kukwazana kutakuwepo tuuuu hata ujikaushe vipi
 
Uandishi wake tu mmmmmmh, yaani hata gate la chuo sidhani kama analifahamu lina rangi ipi.

Kama kweli upo chuo, wahadhiri wana kazi ya ziada.
 
Wanajamii husika na kichwa hapo juu kuna binti toka nifike chuo tumekua tukipendana sana na tukiwa na miadi na malengo ya kuoana mara tu tumalizapo masomo lakini tumekuja kutofautiana kitu kimoja ye ni muumini mzuri wa dini ya kiislamu na mimi ni mkristo lakini nisieamini uwepo wa Mungu shortly sina dini lakini kutokua na dini hakujawah nifanya niache kua mtu mwema ni mtu mwema ambaye matendo yangu yanapendwa karibu na kila mtu lakini tatizo ndo hilo tu siamini Mungu ametishia kuachana na mimi kama nikiendelea na msimamo wangu na hapa nipo njia panda cjuh nifanyeje niweze kuamini kua huyo Mungu yupo ili niweze kumuoa huyu binti............ Nisaidien kimawazo wakuu
Mungu ndiye ajuaye matendo yako....kama unaona we ni mwema afu bdo huamini uwepo wa Mungu ni shida hiyo......Halafu unakuaje mkristo afu huamini uwepo wa Mungu.... Bora uamini usimkute kuliko usiamin halafu ukamkuta.....
 
Imeandikwa katika Zaburi kuwa, 'Mpumbavu amesema moyoni mwake HAKUNA MUNGU'
 
Mtoto mdogo ndio uko chuo unasema Mungu hayupo? Aisee, jiangalie sana utaishia kubaya.
 
Unajua watu hatujui jambo moja kuwa, kuna mambo mengine huwezi kuyawaza kwa akili ya kubnadamu na ukapata majibu......
So kama uanaamin hvo we amin!!
 
wewe mkristo gani usieamini uwepo wa mungu? sema wewe ni mpagani
 
Sasa kama hauna dini na unampenda na wewe siuwe muisilam kama yeye
 
Wanajamii husika na kichwa hapo juu kuna binti toka nifike chuo tumekua tukipendana sana na tukiwa na miadi na malengo ya kuoana mara tu tumalizapo masomo lakini tumekuja kutofautiana kitu kimoja ye ni muumini mzuri wa dini ya kiislamu na mimi ni mkristo lakini nisieamini uwepo wa Mungu shortly sina dini lakini kutokua na dini hakujawah nifanya niache kua mtu mwema ni mtu mwema ambaye matendo yangu yanapendwa karibu na kila mtu lakini tatizo ndo hilo tu siamini Mungu ametishia kuachana na mimi kama nikiendelea na msimamo wangu na hapa nipo njia panda cjuh nifanyeje niweze kuamini kua huyo Mungu yupo ili niweze kumuoa huyu binti............ Nisaidien kimawazo wakuu

mara mkristo mara cna hofu ya mungu mara cna imani -wka sawa maneno yako ili ueleweke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom