Wadau! Ipi kati ya hizo itanifaa zaidi kwani nategemea kuanza kufanya mitihani ya moja wapo. Kitaaluma nina shahada ya elimu na post graduate diploma in procurement and logistics management.
poleni na kazi! ninataka kununua simu aina ya moto G2 lakini sijapata sehemu wanapoiuza simu hii hapa mwanza .Kwa yeyote anayefahamu namna gani naweza kuipata simu hii naomba anifahamishe.
poleni wote mlio wapenzi wa jukwaa hili kwa mihangaiko ya kutwa nzima.Lengo langu ni kutaka kufahamu namna ambavyo PSPTB inavyo mkonsider mtu mwenye postgraduate diploma ya ugavi na aliye na digrii tofauti na ugavi.
Binafsi,ninasoma postgraduate diploma ya ugavi katika chuo cha T.I.A ila...
Za muda tena wadau wa jukwaa hili!
Naomba kujua je! mtu mwenye post graduate diploma iliyo tofauti na digrii yake ya kwanza anaweza kuwa na ufanisi ulio sawa katika utendaji na mtu mwenye bachelor degree ya kozi husika? Kalibuni sana.
Namshukulu Mungu kwa kupata nafasi ya masomo kwa ngazi ya post graduate diploma in procurement and logistic management katika chuo cha Tanzania Institute of Accountancy.Je, ngazi ipi nitayoanzia pindi nikitaka kufanya mitihani ya bodi ya ugavi (psptb) mara baada ya kuhitimu kozi hii? pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.