Recent content by windows8.1

  1. windows8.1

    PSPTB v/s CIPS

    Wadau! Ipi kati ya hizo itanifaa zaidi kwani nategemea kuanza kufanya mitihani ya moja wapo. Kitaaluma nina shahada ya elimu na post graduate diploma in procurement and logistics management.
  2. windows8.1

    Msaada: Ushauri kuhusu ajira zisizoendana na taaluma

    Aende tu mengine yatajipa mbeleni
  3. windows8.1

    Kila kitu sasa kiko ukutani

    Si poleplole!!
  4. windows8.1

    Moto G2 (2014)

    poleni na kazi! ninataka kununua simu aina ya moto G2 lakini sijapata sehemu wanapoiuza simu hii hapa mwanza .Kwa yeyote anayefahamu namna gani naweza kuipata simu hii naomba anifahamishe.
  5. windows8.1

    Wenye uelewa juu ya Bodi ya Ugavi (PSPTB)

    Nakalibisha maoni zaidi wadau coz bado mkanganyiko;level 4 or 1. ipi sahihi? Hengera kwa waliotoa mawazo.
  6. windows8.1

    Wenye uelewa juu ya Bodi ya Ugavi (PSPTB)

    poleni wote mlio wapenzi wa jukwaa hili kwa mihangaiko ya kutwa nzima.Lengo langu ni kutaka kufahamu namna ambavyo PSPTB inavyo mkonsider mtu mwenye postgraduate diploma ya ugavi na aliye na digrii tofauti na ugavi. Binafsi,ninasoma postgraduate diploma ya ugavi katika chuo cha T.I.A ila...
  7. windows8.1

    Post Graduate Diploma v/s Bachelor Degree

    Za muda tena wadau wa jukwaa hili! Naomba kujua je! mtu mwenye post graduate diploma iliyo tofauti na digrii yake ya kwanza anaweza kuwa na ufanisi ulio sawa katika utendaji na mtu mwenye bachelor degree ya kozi husika? Kalibuni sana.
  8. windows8.1

    post graduate diploma in procurement and logistics.

    Namshukulu Mungu kwa kupata nafasi ya masomo kwa ngazi ya post graduate diploma in procurement and logistic management katika chuo cha Tanzania Institute of Accountancy.Je, ngazi ipi nitayoanzia pindi nikitaka kufanya mitihani ya bodi ya ugavi (psptb) mara baada ya kuhitimu kozi hii? pia...
  9. windows8.1

    Mwanamke: Usafi wa 'maakuli' muhimu, sio vizuri kukutana na mtu ananuka sehemu za siri

    Ni vyema ukatujuza chanzo cha harufu! je,ni papuchi tu ndo inanuka au mwili mzima?
  10. windows8.1

    Mwanamke: Usafi wa 'maakuli' muhimu, sio vizuri kukutana na mtu ananuka sehemu za siri

    Ni vyema ukatujuza chanzo cha harufu! je,ni papuchi tu ndo inanuka au mwili mzima?
  11. windows8.1

    Ni sahihi wanandoa/wapenzi kuvaliana nguo za ndani

    Hii muuupyaa kwakweli,mh!!
  12. windows8.1

    UDOM-COED! Kilio ni maji maji maji

    Natumaini Mlacha analitambua tatizo maana si tatizo la jana wala leo ndugu!
Back
Top Bottom