Usiombe kupima na unajijua umepita sehem za hatari hatariii.me nilibananishwa na wifeee la sivyo mpaka leo nisingepima nilijua na mimi ninao aisee nilihamia kwenye pombee kwa sana mpaka wife akawa ananishangaa tu kumbe nina siri yangu moyoni
Hahaha sisi wenye group 0+ tunatesa tuuu.hivi ni kweli hatupati magonjwa kirahisi? Ila kama kuna ukweli hivi ....nilitembeaga na mdada mmoja hivi kavukavu na nikaja kusikia ameungua hahaha nilikonda ndani ya week tu. Nilikuja kupima baadaya wife kushika mimba hiyo siku nusura nikimbie majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.