Recent content by winchester

  1. W

    JamiiForums Tanzania Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Inakupa tu , muhimu ujue wapi pa kuweka . Ukifuatilia kwenye soko la dse utaona faida ilivyo
  2. W

    JamiiForums Tanzania Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Badala ta kusave nenda ukanunue hisa , itakusaidia kufikia nalebgo mapena
  3. W

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi kwenye duka la nguo

    Anahitaji mdada kwa ajili ya duka la nguo , lipo mwananyamala komakoma awe anayeishi jirani na maeneo hayo, mshahara 150,000, awe na uwezo wa kutumia social media kutangaza Mawailiano , Whatsapp 0754200363
  4. W

    JamiiForums Tanzania Nina 40M ninunue hisa CRDB, NMB au niwekeze UTT?

    Aliweka mamilioni mangapi , wakati ili mwaka uliopita upate laki mbili ilibidi kwa mwaka jana CRDB ilibidi uwe na hisa 3100 approximate , na kwa bei ya hisa moja wakati huo ilikuwa 850 basi alihitaji kuweka 2.7M ili kupata laki mbili
  5. W

    JamiiForums Tanzania Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Wewe tafuta toyota kwa mazingira yako na gari unayopenda unaweza pata toyota surf niliwahi ona inauzwa around 30M , gari nje ya toyota itakutesa , uzuri wa toyota hata oil/spea ikiwa sio inaweza vumilia kidogo, sasa kwa mgeni wa magari lazima utakutana na hiyo mikasa
  6. W

    JamiiForums Tanzania Nina 40M ninunue hisa CRDB, NMB au niwekeze UTT?

    Ipo kwenye web ya i trust kwa ajili ya kununua
  7. W

    JamiiForums Tanzania Nina 40M ninunue hisa CRDB, NMB au niwekeze UTT?

    ETF ni nini? ETF (Exchange Traded Fund) ni mfuko wa uwekezaji unaokusanya kampuni nyingi ndani ya bidhaa moja, na unauzwa kwenye soko la hisa kama hisa ya kawaida. Ukinunua “unit” moja, unamiliki sehemu ya kampuni zote zilizo ndani ya huo mfuko. iTrust EAC Large Cap ETF – IPO Mamlaka ya...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Nina 40M ninunue hisa CRDB, NMB au niwekeze UTT?

    Kuna ETF ya itrust , nunua hizo
  9. W

    JamiiForums Tanzania Je, soko la HISA ni utapeli?

    MAelezo ni hayo , unaweza soma zaidi
  10. W

    JamiiForums Tanzania Je, soko la HISA ni utapeli?

    A new definition of closing price has been adopted, calculated as the volume-weighted average price (VWAP) of trades executed during the trading session, provided a minimum of 100 shares is traded per transaction. This replaces the previous rule that relied on a percentage of issued shares and...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Je, soko la HISA ni utapeli?

    Hapo price ilibadilika kutokana na kubadilika kwa kanuni za DSE ndio maana hisa nyingi zilipanda sana au kushuka .Zilikuwa issue tatu moja wapo ni jinsi ya calculation za beinya hisa
  12. W

    JamiiForums Tanzania Je, soko la HISA ni utapeli?

    Investment kwenye hisa sio kazi ya hisia tu , sasa mtu ametoka kukupa dividend ya Tsh 65 kwa hisa moja , alafu wewe unadai bei ya hisa moja ingekuwa TSh 20, yani ununue hisa bei hiyo ulipwe gawio mara tatu yake , sababu financial statement zimeknyesha kuimprove kila sehemu ukilinganisha na...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata mkopo kupitia dhamana ya UTT

    Hamna cha juu na wala sio connection kwamba inabidi atoe hela , ni kwasababu siwezi toa namba ya mtu mtandaoni , nikimpa namba ni kuwa itakuwa straight tu njoo na vitu hivi au atampigia hesabu na kukubaliabana halafu imeisha , otherwise aende tu tawi lolote la NBC atapewa vigezo na document...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata mkopo kupitia dhamana ya UTT

    K Haina shida
  15. W

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata mkopo kupitia dhamana ya UTT

    hakikisha pesa unayotaka kuchukulia mkopo ipo kwenye bond fund na umepata angalau installment moja , weka akaunti ya kulipia iwe NBC alafu nicheki nitakupa connection na mtu wa NBC, unapata mapema tu
Back
Top Bottom