Ngoja tuone. Ila Kwa akili ndogo tu inaoneshe kwamba uteuzi huo ni WA kutapatapa tu Kwa mfa maji. Wanatafuta mtu WA kumangushia zigo lililo washinda wengi.
Huu sio uchokozi, wala sio dharau kwa Mungu, hiii ni sehemu ya mafundisho .. siku hizi watu hawataki kujifunza wala kutafakari kuhusu Mungu. Acha mada iendelee.
Mzee kapinga unasema pisa tunaiba tunapeleka kanisani, mbona nanyi amuibi kwa masrai ya done? Ndio kujifanya mna imani sanaaa. Ila pass za kudhamini mabomo na milipuko mnachanga, changeni na pesa za mahakama yenu ya kuwazibiti wanawake tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.