Recent content by WilsonMwalukasa

  1. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Shule zetu za kata zinakufa? Nini kifanyike kuziinua?

    Kwa nini shule zetu za kata zinakufa? Na nini kifanyike tuzi-inue shule zetu za kata? Kwa hali ya sasa, shule zetu za kata zipo kwa ajili ya kundi maskini au kundi la wasiojiweza. Sidhani kama hii ndiyo ilikuwa nia ya kuanzisha shule hizi. Naamini kabisa shule hizi zilianzishwa kwa malengo ya...
  2. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Kama Kiswahili ndio lugha ya Taifa, Serikali ihakikishe kinatumika katika nyanja zote muhimu ikiwemo Elimu

    BAKITA ikubali kutohoa maneno ya kigheni, haswa kwa maneno yaliyo common mfano computer iitwe TU kompyuta sio mpaka ipatiwe msamiati wake. happy unakuwa unachanganya watu.
  3. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Ili kuendelea kitaifa, Kuna umuhimu wa masikilizano baina ya Serikali na Wananchi wake

    Kusikiliza ni uwezo wa kupokea na kutafsiri kwa usahihi na umakini ujumbe katika mchakato wa mawasiliano.
  4. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Ili kuendelea kitaifa, Kuna umuhimu wa masikilizano baina ya Serikali na Wananchi wake

    Lugha yetu ni changa. Listening na hearing ni tofauti Sana fuatilia. Nchi yetu tumeshindwa kusikilizana Yani listening to each other.
  5. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Tubadilishe namna zetu za kufanya teuzi kwa viongozi Serikalini

    Kwanza elimu ibadilishwe nchini, katiba itakuwa zao la elimu.
  6. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Ili kuendelea kitaifa, Kuna umuhimu wa masikilizano baina ya Serikali na Wananchi wake

    Kwa sababu tumeshindwa kusikilizana ndio maana hatuendelei. Kwa muda mrefu, tumekuwa tukishindwa kutatua mizizi ya matatizo yetu. Tumeshindwa kutatua vyanzo vya matatizo yetu. Taifa kiujumla na serikali zetu kwa awamu mbali mbali, kwa ujumla tumeshindwa tafuta suluhu ya matatizo yetu ya siku...
  7. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Tubadilishe namna zetu za kufanya teuzi kwa viongozi Serikalini

    Kwa mwenendo wa vyama pinzani nchini, CCM itaendelea kuwa madarakani.
  8. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Tubadilishe namna zetu za kufanya teuzi kwa viongozi Serikalini

    Hii nchi inahitaji reforms kwenye Kila sector nchini
  9. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Wasaa wa kufanya Mabadiliko ya Elimu na mitaala nchini

    Mzee qualification sio tija. Elimu ni changamoto, Chukua Diploma mhitimu wa Tanzania na labda Marekani, wote wawe wa fani au taaluma Moja. Halafu angalia madini Yao ya kichwani, utaona utofauti mkubwa sana
  10. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Tubadilishe namna zetu za kufanya teuzi kwa viongozi Serikalini

    Bado Kuna reforms inabidi kufanyika haswa kwenye teuzi au chaguzi za watu wa kupewa nyadhifa Serikalini. Teuzi zetu nchini zina-mapungufu sana na mengi. Ukifuatilia vigezo vya teuzi hizo Huwa zina kasoro. Unakuta kiongozi kachaguliwa na kapewa nyadhifa serikalini Kwa sababu tu, 1: Mwanachama...
  11. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Wasaa wa kufanya Mabadiliko ya Elimu na mitaala nchini

    Habari zenu. Swala la elimu nchini Tanzania, ni swala ambalo wanasiasa wengi nchini iwe chama tawala na hata vyama pinzani kiujumla Kwa pamoja wameshindwa kuona kama ni miongoni mwa kikwazo Cha maendeleo nchini. Serikali imekuwa ikipanga malengo na maono makubwa, ambayo ni tofauti na aina ya...
  12. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Hiyo ramani inaweza gharimu jumla kuu Bei gani

    acha kupoteza watu. na unatisha watu. Wasiliana nasi 0762-704-031/0654-704-031.
  13. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda Oman kutafuta kazi, nishauri tafadhali

    niunganishe boss wangu. 0762-704-031 0654-704-031. shukrani Sana. tayari, second member.
  14. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda Oman kutafuta kazi, nishauri tafadhali

    niunganishe boss wangu. 0762-704-031 0654-704-031. shukrani Sana.
  15. WilsonMwalukasa

    JamiiForums Tanzania Pendezesha Nyumba yako

    itategemea na fundi wa kwanza aliwetengeneza vipi, maana hizi kazi kila mmoja nautendaji wake. Mwingine akipiga msumari atazamii labda huenda Kuna changes zinaweza fanyika au laah.
Back
Top Bottom