Wasaa wa kufanya Mabadiliko ya Elimu na mitaala nchini

Dec 26, 2021
33
23
Habari zenu.

Swala la elimu nchini Tanzania, ni swala ambalo wanasiasa wengi nchini iwe chama tawala na hata vyama pinzani kiujumla Kwa pamoja wameshindwa kuona kama ni miongoni mwa kikwazo Cha maendeleo nchini.

Serikali imekuwa ikipanga malengo na maono makubwa, ambayo ni tofauti na aina ya elimu na mitaala iliyopo nchini.

Mipango ya serikali haiwiani na sera zetu za elimu, aina ya elimu na mitaala ya elimu nchini.

Serikali inasema wahitimu wa vyuo wajiajiri, lakini je elimu waliopewa vyuoni ni ya kuwawezesha wao wajiajiri? Umesoma nadharia za Entrepreneurship chuoni, ukihitimu practical unakuja kufanya mtaani.

Hiyo ni dhahiri kuwa malengo na maono ya serikali juu ya wahitimu haiendani na maandalizi yaliyo fanyika Kwa wahitimu wake.

Serikali kupitia wizara ya elimu imepanda mihogo na inategemea kuvuna mahindi.

Aina ya elimu na mitaala katika taifa letu bado ni changanoto, tuna-andaliwa Kwa elimu ya kukalili na sio kukufikirisha.
Ukiwa una uwezo mkubwa was kukalili elimu ya Tanzania ni rahisi sana.

Ndio maana wasomi au wakufunzi wetu, ni ngumu kuwa creative maana ili uwe creative inabidi uweze kufikiri.

Kuna taaluma nchini kama Civil Engineering, ni ngumu kukuta Engineer aliyehitimu UDSM au Ardhi au MUST Mbeya kwenda nje ya misaafu yake kama British Standard BS, maana elimu yetu haijatufunza kufikiri imetufunza kukalili.

Vyama pinzani wamekosea sana kuanza kudai Katiba Mpya, walipaswa kudai mabadiliko ya Elimu (Education Reforms). Endapo elimu na mitaala yake ikibadilika tutapata elite citizens, ambao wenyewe watakuja kudai mabadiliko ya katiba endapo wakiona Ina kasoro.

Natoa Rai Kwa watanzania wenzangu, tudai mabadiliko ya Elimu kwanza. Na ndio kiwe kipaumbele chetu.

Maendeleo ya Taifa hutegemea wananchi wake, na wananchi waweze kuwa chachu ya maendeleo ya nchi yao nao hutegemea wameandaliwa katika elimu ya aina gani.

Tunaweza pata mifano Kwa mataifa ambayo, yaliwekeza kwenye elimu na yakaweza kupata maendeleo ndani ya muda mfupi mfano ni zile nchi za Southern Tigers.

Nawasihi watanzania wenzangu, tupaze sauti tufanye mabadiliko ya mitaala yeti nchini, tuachane na elimu ya urithi kutoka kwa mkoloni. Asanteni.
 
Tatizo sio elimu wala, tatizo ninaloliona mie lipo kwenye mifumo ya kazi/ Ajira ambayo 80% ni "corrupt systems"

Elimu ya nchi yetu ingelikua ni tatizo wahitimu wa shule zetu wasingelikua na sifa (qualifications) za kujiunga na vyuo vya kimataifa (kupitia sponsorships au scholarships) katika nchi mbalimbali za ughaibuni ambazo tunaziamini kuwa elimu yao ni bora kuliko yetu.

Wasingekua wanapokelewa huko.
 
Tatizo sio elimu wala, tatizo ninaloliona mie lipo kwenye mifumo ya kazi/ Ajira ambayo 80% ni "corrupt systems"

Elimu ya nchi yetu ingelikua ni tatizo wahitimu wa shule zetu wasingelikua na sifa (qualifications) za kujiunga na vyuo vya kimataifa (kupitia sponsorships au scholarships) katika nchi mbalimbali za ughaibuni ambazo tunaziamini kuwa elimu yao ni bora kuliko yetu.

Wasingekua wanapokelewa huko.
Mzee qualification sio tija. Elimu ni changamoto, Chukua Diploma mhitimu wa Tanzania na labda Marekani, wote wawe wa fani au taaluma Moja.

Halafu angalia madini Yao ya kichwani, utaona utofauti mkubwa sana
 
Tatizo sio elimu wala, tatizo ninaloliona mie lipo kwenye mifumo ya kazi/ Ajira ambayo 80% ni "corrupt systems"

Elimu ya nchi yetu ingelikua ni tatizo wahitimu wa shule zetu wasingelikua na sifa (qualifications) za kujiunga na vyuo vya kimataifa (kupitia sponsorships au scholarships) katika nchi mbalimbali za ughaibuni ambazo tunaziamini kuwa elimu yao ni bora kuliko yetu.

Wasingekua wanapokelewa huko.

Ukisimama mbongo,mkenya ama mnigeria trust me mbongo watamkata kwenye nafasi
 
Habari zenu.

Swala la elimu nchini Tanzania, ni swala ambalo wanasiasa wengi nchini iwe chama tawala na hata vyama pinzani kiujumla Kwa pamoja wameshindwa kuona kama ni miongoni mwa kikwazo Cha maendeleo nchini.

Serikali imekuwa ikipanga malengo na maono makubwa, ambayo ni tofauti na aina ya elimu na mitaala iliyopo nchini.

Mipango ya serikali haiwiani na sera zetu za elimu, aina ya elimu na mitaala ya elimu nchini.

Serikali inasema wahitimu wa vyuo wajiajiri, lakini je elimu waliopewa vyuoni ni ya kuwawezesha wao wajiajiri? Umesoma nadharia za Entrepreneurship chuoni, ukihitimu practical unakuja kufanya mtaani.

Hiyo ni dhahiri kuwa malengo na maono ya serikali juu ya wahitimu haiendani na maandalizi yaliyo fanyika Kwa wahitimu wake.

Serikali kupitia wizara ya elimu imepanda mihogo na inategemea kuvuna mahindi.

Aina ya elimu na mitaala katika taifa letu bado ni changanoto, tuna-andaliwa Kwa elimu ya kukalili na sio kukufikirisha.
Ukiwa una uwezo mkubwa was kukalili elimu ya Tanzania ni rahisi sana.

Ndio maana wasomi au wakufunzi wetu, ni ngumu kuwa creative maana ili uwe creative inabidi uweze kufikiri.

Kuna taaluma nchini kama Civil Engineering, ni ngumu kukuta Engineer aliyehitimu UDSM au Ardhi au MUST Mbeya kwenda nje ya misaafu yake kama British Standard BS, maana elimu yetu haijatufunza kufikiri imetufunza kukalili.

Vyama pinzani wamekosea sana kuanza kudai Katiba Mpya, walipaswa kudai mabadiliko ya Elimu (Education Reforms). Endapo elimu na mitaala yake ikibadilika tutapata elite citizens, ambao wenyewe watakuja kudai mabadiliko ya katiba endapo wakiona Ina kasoro.

Natoa Rai Kwa watanzania wenzangu, tudai mabadiliko ya Elimu kwanza. Na ndio kiwe kipaumbele chetu.

Maendeleo ya Taifa hutegemea wananchi wake, na wananchi waweze kuwa chachu ya maendeleo ya nchi yao nao hutegemea wameandaliwa katika elimu ya aina gani.

Tunaweza pata mifano Kwa mataifa ambayo, yaliwekeza kwenye elimu na yakaweza kupata maendeleo ndani ya muda mfupi mfano ni zile nchi za Southern Tigers.

Nawasihi watanzania wenzangu, tupaze sauti tufanye mabadiliko ya mitaala yeti nchini, tuachane na elimu ya urithi kutoka kwa mkoloni. Asanteni.


Ni nani hao wakae chini wafanye mabadiliko ya mitaala??---si ni hao hao waliorithi elimu ya kukariri ndio watakaa chini kubadilisha mitaala !!!.
 
Mzee qualification sio tija. Elimu ni changamoto, Chukua Diploma mhitimu wa Tanzania na labda Marekani, wote wawe wa fani au taaluma Moja.

Halafu angalia madini Yao ya kichwani, utaona utofauti mkubwa sana

Mambo mengi yameshashauriwa humu ndani mkuu Wilson, mfano dual-education system, syllabus kutungwa kutokana na mazingira yetu isiwe too general,iwe specific ili wanaohitimu waweze kuona fursa kwenye mazingira hayo hayo waliyosomea,kuwe na lugha moja ya kufundishia ili kuepusha kukariri, ukipekua huku JF utakuta vitu vyote hivi lakini nahisi wnaotuongoza Tanzania ni watu very selfish,wako kila mtu na interests zake
 
Mzee qualification sio tija. Elimu ni changamoto, Chukua Diploma mhitimu wa Tanzania na labda Marekani, wote wawe wa fani au taaluma Moja.

Halafu angalia madini Yao ya kichwani, utaona utofauti mkubwa sana
Lakini ukumbuke marekani na Tanzania ni mlima na kichuguu...uchumi wetu haufikii hata robo ya uchumi wa marekani.
 
Back
Top Bottom