Ukiachilia mbali elimu,tangu masuala mengine ya maendeleo pia yame kwama,mfano ni barabara ya miamzini kuelekea ekenywa sasa hivi imegeuka mkondo wa maji makorongo kila mahali,sakina hivyo hivyo.kweli tulilamba garasha.
cha msingi ni kwamba Chadema tusishiriki uchaguzi mwingine wowote mpaka angalau mambo mawili yamefanyika,kuboreshwa kwa daftari la wapiga kura,kama katiba mpiya haitapatikana kabla ya 2015, basi tufanyie marekebisho kipengele cha cheria ya uchaguzi,tupate tume huru. vinginevyo...
huu utafiti hata haueleweki.ulitumia vigezo gani?
kwa kuwa kuna tofauti kati ya
1.mwenye ushawishi mkubwa
2.mwenye utajiri mkubwa
3.na mwenye kutajwa sana na vyombo yva habari...
Okey,ikiwa mtu mmoja tu ambaye ni zito alihongwa zaid bilion 4 kukisambaratisha chadema kuna ubaya gani kwa cdm wakitumia bilion moja tu kurudisha hadhi ya chama?
Sehemu uliogemea si salama kijana. Amka ufufuke katika wafu kimamaendeleo kwa kuwa saa ya ukombozi ni sasa.
Hebu na ccm tumie...
katika viongozi waliosalia Tanzania babu Slaa yumo? Dr Slaa ni mchumia tumbo kama viongozi wengine, kama kweli anakipenda chama mfu Chadema mwambieni asichukue mshahara kama wa wabunge. pia kumbukeni kama ameweza kuasi upadri sembuse nchi? huyu babu Slaa ni janga la Taifa. Hebu we acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.