Recent content by wilson traveller

  1. W

    Zitto anapigwa vita ndani ya CHADEMA na Mitandao ya Urais ndani ya CCM

    Wakae wakijua zitto akisema aende ccm ataondoka na wafuasi wengi tu.
  2. W

    Vita kubwa ya soko la gesi Tanzania na Msumbiji inakuja

    Kabla gesi hii ijashindwa iundwe kauli mbiu na sheria za kuzilinda rasilimali zetu..pia mikataba wanaoingua viongozi wa CCM waiweke bayana na mpaka tulizie ndio ipitishwe ili tuweze nufaika na gesi yetu..pia serikali iakishe asilimia isiyo pungua 45 Ibaki nchini kwa ajili ya umeme na matumizi...
  3. W

    Sophia Simba: CHADEMA wanatumiwa kuanzisha vita na Mataifa ya nje ili yapate soko la Silaha

    Huyu mama alikosa ya kuongea na alikuwa ame miss mumewe mbona hasemi CCM wanatumiwa na serikali za kigheni katika kuhujumu rasilimali zetu na kuingia mikataba isio na mkia wala miguu..akajipange upya
  4. W

    Utafiti: Wasio na elimu waongoza kumpenda Rais Jakaya Kikwete

    Hata wasiosoma wengi wanapenda CCM
  5. W

    Mliokosa mikopo HESLB uanganeni!

    Tena wakija FFU tunatumia mafunzo ya JKT waliotufundisha..tuungane katika umoja hakuna la kushindikana
  6. W

    Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

    Hawa jamaa huwa wanataka haki sawa sasa haki sawa ni kama hizo au wanataka zipi??tena kama ndio huyo mwanamke msomi na anaijua na ameisoma haki sawa basi awe mpole tu ai-practise tu..
  7. W

    Mwana CCM yoyote akinijibu hili nahamia CCM

    Labda huduma za kuhujumu uchumi wa nchi na ufisadi..zipo 24 hours
Back
Top Bottom