Akuna sababu yoyote ya msingi inayoweza kuzuia mtu kuowa mwanamke zaidi ya mmoja, wapo kwenye biblia watu waliowa wanawake zaidi ya 1 na mungu aliendelea kufanya nao kazi.
Vitu viwili vinavyo tuchanya sisi wakristo.
Biblia na doctrine ya kanisa
Hii sio stori ya kubuni ,kwani ingekuwa ya kubuni ingeandaliwa vizuri na ingewekwa maneno mengi ambayo yangekufanya wewe msomaji uweze kuvutiwa zaidi. Kwahiyo wewe to USHAURI Kama ulivyoelewa tu .ikiwa haujavutiwa pita pembeni.
Wadau habari za saa hizi. Acha niende moja kwa moja kwenye mada
Mwezi wa 12/2018 nilisafiri kwenda Dar nikamaliza wiki 2 nikiwa huko .nilivyo Rudi tu huku kwetu nikakuta kwa jirani yetu kuna binti mrembo Sana ambaye alikuwa Ni mgeni pale, Kama tulivyo mabaharia ikabidi nijisogeze kwa binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.