Recent content by Willykipara

  1. W

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Asikate tamaa,yeye aendelee hadi 45 ikibidi,ila majukumu mengine aendelee nayo,akitoboa ndo aache rasmi.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Udereva ndio fani inayoongoza kwa ajira, ajira portal vijana tupambane tuwe madereva.

    Hiyo kwa mtu ambaye ameshaaplodi nyaraka zake,na ana elimu ya shahada,inasemekana hawezi kupata,ni vyema kwa wenye nia yakuingia serikalini,waambiwe kabisa kabla hawajafungua akaunti ya ajira portal,wasiaplodi vyeti vyao vya shahada ili wapate ajira halafu watakuja kupambana baadae kuonyesha...
  3. W

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Wewe mleta post una kesi ya kujibu.Halafu kitendo cha kutofautiana mwaka wa kuzaliwa inaonyesha ni watu wawili tofauti na hicho cheti chako ni vile vya zamani,havisomi hata kwenye mfumo wa RITA,yawezekana yeye alishaomba cheti kingine akaomba na NIDA,hiovyo wewe itakua ngumu kudhibitisha kuwa ni...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Leteni hapa vichwa nyie msiotaka kuoa au kuolewa.

    Ndoa usipokua makini,zinachangamoto sana,muda mwingine ni kudhalilishana tu,hasa pale unapokuja kugundua mkeo anakuchiti hovyohovyo tena na watu ambao hawajaoa,inauma sana, ndomaana sasa hivi naona bora ambao hawajaoa,ila wahakikishe wanakua na watoto. Cheatings ni nyingi sana kwenye ndoa,ni...
Back
Top Bottom