Bwana Eisteen hayo uliyaandika halo juu naweza kuuita uongo uliopitiliza. Hi fan I ya uganga wa mwili wa binadamu waachie waliosomea fani hiyo. UTI kirefu chake ni Urinary track infection. Inaletwa na bacteria waitwao E. coli au Klebsilla spps na wengine wachache. Shida iliyopo ni kuwa UTI ni...
Sisi wazee wa Tanzania tunamwomba Rais SSH atuletee vaccine ya COVID19. Tunahiitaji sana. Magonjwa yaletwayo na virusi hayana tiba. Dawa za kinga ndiyo suluhisho. Tafadhali sana Rais wetu najua unafuatilia, sikia ombi letu
Hizo test zinaitwa Serology test ambazo zonapima antibodies. Zinakuws positive baada ya wiki 2-3 baada ya kuonyesha dalili. Pia ubora wake bado haujadhitishwa. WHO hawajaziruhusu kutambau wagonjwa wapya.
We would be contacting symptomatic individuals and quickly isolating them. We would be tracing their contacts and testing them too. We would be using phone apps and online registries to support the tracing, testing, and isolation processes.
We would be screening the public for symptoms in bus...
Ajiuzulu kwa uzembe wa watu waliotaka kuiba. Let’s call a spade a spade. Mtoto wako mwenye miaka 20 anaiba halafu baba anashtakiwa??? Let’s be serious na tuache siasa
Mwandishi ana ajenda mbaya sana. Mfumo unaotumiwa na TMDA ni wa kimataifa ( soma kwenye website IMDRF/ GHTF). Msingi huu unatumika na WHO Prequalification Program. Kwa taarifa mfumo huu umeifanya WHO kuitambua TFDA kuwa ya kwanza Africa kufika level 3 maturity kwenye medicine na kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.