Kama picha zinavoonesha hapo anadai kuonesha ligi zote kubwa ulaya kwa bei nafuu tu matangazo yako facebook. Naomba ufafanunuzi kama hii kitu inawezekana anadai king'amuzi kinaitwa premium hd. Kama kuna mtu anafaham hii habari atutoe tongotongo
Maelezo hayatoshi.
1. Je starter motor inapata moto?
2. Je starter motor inazunguka
3. Kama inazunguka inaweza kuzungusha engine.
4.kama inazungusha engine ila engine haiwaki cheki ignition coil mojamoja kama inazalisha spark
5. Kama zote zinatoa spark angalia nozel na injector pump
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.