Recent content by Willy mayor

  1. Willy mayor

    Wanawake michosho kweli jamani

    [emoji23][emoji23][emoji23]hapana cheza na dude likishasikia harufu aisee
  2. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Betpawa max payout ni million 80 bro
  3. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tulia mzee.. mimi sijaanza kubeti leo
  4. Willy mayor

    Baadhi ya wanaume Mungu anawaona...

    Ana moyo mzuri sana huyo binti.. Thumb up.. She's also a risk taker... Wewe waweza ona ni jambo la kushangaza ila kwake yeye anacho kifua cha kuhimili..
  5. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yani psg hana corner hata moja???.. Duuu shikamoo muhind.. Naona umeamua kunifuata kila mahali
  6. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yan nimewapa PSG corner 5.5 ... Naona kamkeka ndo kanachanikaa..duuu
  7. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mm niliwapa 4.5 kudadakii.. Ila kashatoaa
  8. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Premier bet online ipo vizuri sana.. mech za kutosha na option za kumwaga alafu hakunaga mambo ya TAX..
  9. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mkuu msaada ninawezaje kuona betting slip yangu after payment coz sijaona sehemuyeyote inayoonesha betting slip... natumia laptop
  10. Willy mayor

    NATAFUTA MOTHER BOARD YA LENOVO idealpad 300

    wakuu msaada wenu tafadhal coz mashine iligoma kufanya kazi ghafla yaani huwa inawaka tuu kwenye keyboard but display haioneshi chochote_ntafurah sana endapo nikipata motherboard ya hii mashine. Shukran
  11. Willy mayor

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ndio_mkuu_tembelea_apaa Football Predictions & Tips | Betensured
Back
Top Bottom