Unaweza kuomba kwenye vyuo vya nje pia.. kuna scholarship kibao zina support watanzania wanaotaka kusoma masters.. kama Irish AiD- Now Open, Commonwealth scholarship-Open, Swedish Institute scholarship nayo inafunguliwa soon
Hio IELTS ni kuisomea na kujipanga vya kutosha. Huo mtihani wanasema hata native speakers wasipousomea ni rahisi kufeli.. ni kuusomea tu! Na huu mtihani wa IELTS ni kigezo kikubwa muhimu kwa prospective applicants wa scholarships mbalimbali!
Sisemi kwamba ndo ilivokua kwake maake hatujui.. lakini Drinking and swimming is very likely to cause drowning even for an experienced swimmer.. I hope it wasn’t the case here.. RIP Pancho! Gone too soon..
Habari wadau!
Aisee mi ni mpangaji naishi kwenye nyumba na wapangaji wengine. Kuna conflict zinatokea kila ikifika wakati wa kuchanga kulipia umeme. Sasa nataka nifunge luku ya chumba changu Kwahio nilikua naomba kama kuna mdau anafahamu gharama za kufunga luku kwenye chumba chako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.