Nachukia saaana wabunge wa viti maalumu sioni umaalumu wao,ni mbunge gani wa viti maalumu unayemtambua ni mjenga hoja mzuri na kuitetea??achana na wa kuteuliwa mafundi Kama Mbatia...!!!'
Naaingaliaa hapa ITV Mh Pinda anajibu maswali lakini majibu yake hayajanirizishA hata kidogo,siyo majibu ya kisomiii hata kidogo ni Kama ngonjera na mafumbooo tuuuu.....!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.