Hizo kampuni siyo kweli baadhi yao Cocacola wazidishaji wazuri sana hii naipinga, Kanji Lalji na TBL siyo sana kwa kanda ya ziwa hata ukienda katika kumbukumbu za vitabu vya mizani wamelipa sana faini. Cocacola ni zaidi sijui kwa kwa kanda zingine.
Magufuli hajafanya utafiti wa uharibifu wala barabara nini tatizo na mizani, kwani uharibifu unaanzia kutoka wizarani. Na katika ujenzi mzima wa miradi ya barabara kama barabara unajenga miaka miwili inabomoka mnakumbuka ile ya singida shelui, mchina aliambiwa arudie mchina kwa kuhofia kunyimwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.