Recent content by wilfredMtesigwa

  1. W

    TCRA: Wenye akaunti ‘feki’ kukiona

    Mi nashauri zizimeni hizo akaunti mwenye uhalisia nayo awafuatee mkiona kimya fake hizo lakin pia mtu afungue upya akaunti kwa kutumia kitambulisho cha URAIA
  2. W

    Nifahamisheni Umri wa Lady Jaydee 'Jide'

    Kama kumbukumbu ziko Sawa mwaka 1984 alimaliza darasa la saba pale Mbuyuni primary
  3. W

    TBC1 gharama za matangazo mbashara Uhuru day tumieni kuboresha kituo chenu

    Hiki kituo kingeuzwa tu hakina uwezo kabisa wa kutengeneza picha picha zake ni mbaya hakuna mfano mtangazaji anaonekana kama kapakwa vumbi
  4. W

    Walimu Kondoa Girls waamriwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kondoa kuanza kulipa kodi ya nyumba

    Hana adabu huyo Kiongozi atumbuliwe kwa chuki zake na majibu ya hovyo
  5. W

    Kuhusu Maandamano ya tarehe 13.09.2016, kwa vijana wote wasiokuwa na Ajira

    Hujaajiliwa unaanza kuandamana ukiajiliwa si utasumbua sana wewe bora mbaki mtaani
  6. W

    Mapunjo ya mishahara kwa waliositishiwa madaraja kupisha opereshsheni wafanyakazi hewa

    Naomba waanze kulipa July 2017 vinginevyo huu mwaka utasumbua kukokotoa Mafao kwa wastaafu wote watarajiwa
  7. W

    Wapangaji 174 wa CDA watakiwa kupisha ukarabati

    Karibuni dar maana waliowatoa wametokea huku poleni za huku dar zianabaki tupu
Back
Top Bottom