Mungu amlaze mahala pema padri wetu alietangulia mbele ya haki kwani wote njia ni moja.
Tukumbuke kuwa vita yetu si ya damu na nyama bali ni ya falme na mamlaka na mungu wetu atatupigania?
What a sad day for zanzibar's christians
Usione fahari kuambiwa unafanya kazi benki wakati maslahi ni finyu.
Jaribu kutafiti kipato unachokipata kwenye kazi ya ualimu na huko benki wapi maslahi yake ni mazuri na baada ya hapo ndio ufanye uamuzi sahihi.
Kila kitu kinawezekana chini ya jua la muhimu ni kujituma na kutokataa tamaa maana huwezi jua bahati yako itaangukia muda gani.
LIFE CAN CHANGE WITHIN A SECOND.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.