Recent content by wifeseeker

  1. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Halafu kumbe walimu ndo wanaleta hizi uzi maana tangu wamelipwa jana kelele zimeisha.
  2. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Basi wamelipa kada zinazopokea mishahara midogo.
  3. W

    Sintofahamu ya mpaka sasa Serikali haijawalipa watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei

    Walimu wote wamelipwa mishahara yao leo asubuhi. Kada zingine bado hazijalipwa.
  4. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Yes nna uhakika wamelipwa
  5. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Wamelipwa walimu tu CRDB na NMB kote zimeingia.
  6. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Nimegundua waliolipwa mpaka sasa ni walimu tu. Wengine bado
  7. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Nimegundua waliolipwa mpaka sasa ni walimu tu. Wengine bado
  8. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Au labda wameanza kuingizia walimu.
  9. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Tz, au labda mlio chini ya halmashauri ndo mmelipwa.
  10. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Kwasasa ni tofauti. NMB asubuhi CRDB jioni
  11. W

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Wanaingiza masaa kadhaa bada ya NMB.
Back
Top Bottom