Huyu jamaa ni graduate wa DIT, yupo vizuri kwenye computer security ila anaitumia kinyume (hacking) na ndio maana anajua vingi.
Vile vile watu wa system ambao hawamkubali mkulu wanamfeed classified informations.
Forgery kivipi wakati mzigo unakaguliwa kwenye country of destination.
Kule customs officer ana compare mzigo ulioingia na kile kilichoainishwa kwenye profoma invoice!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.