Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kanga moko ndembe ndembe, laki si pesa...Dr . Mashinji nadhani ana matatizo ya akili anaongea vitu havieleweki hawa Madaktari waliosomea Urusi wengi wanakuwaga na matatizo ya akili hana tofauti na Dr. Shika
......mwanasiasa togwa !
Eee Mungu Baba Muumba Mbingu na Ardhi,ikiwa leo ni siku muhimu katika kalenda yako na watu huku waamini na kutukuza huku wakikuomba katika 'kuokoa Taifa,Nchi Tanzania,Taifa linaloangamia kwa kasi kwa watu wake kukosa maarifa,Eee Mungu "Ng'ofoa" roho za watu kama hawa.Huo mzoga Upo?
kumbe mlimtumia mtu asiye na akili kwenye kampeni kwahiyo wote ni punguani?Dr . Mashinji nadhani ana matatizo ya akili anaongea vitu havieleweki hawa Madaktari waliosomea Urusi wengi wanakuwaga na matatizo ya akili hana tofauti na Dr. Shika
Na nyie mbadilike bhana maisha gan ya kukamatwa kamatwa au ndo kunawasaidia kupeleka maendeleo kwny majimbo yenu?
Hakika ni ushauri mzuri wa kitaalamu maana ni maneno machache na ujumbe mkubwa!
Hujaacha tu uongo wewe kijana ?Dr . Mashinji nadhani ana matatizo ya akili anaongea vitu havieleweki hawa Madaktari waliosomea Urusi wengi wanakuwaga na matatizo ya akili hana tofauti na Dr. Shika
Hoja?Dr . Mashinji nadhani ana matatizo ya akili anaongea vitu havieleweki hawa Madaktari waliosomea Urusi wengi wanakuwaga na matatizo ya akili hana tofauti na Dr. Shika
Hii ndo ccm mpya itajenga Na ilishajenga viwanda 3300 sijui wanajua maana ya viwanda? Awamu hii full kutumia maigizo Na nguvu kubwa kujitangaza kuliko kutenda kutwa live kwenye matv aonekane
Wewe mkorofi huna hoja. Unaanza matusi unadhani CCM tunawapenda wanaojitoa ufahamu kama wewe? Hayo mahaba yako uchwara yasifanye sote tuonekane hamnazo. Haya umemuingiza Dr. Shika hapa kwa mintaarafu ipi? Anaweza kukufungulia kesi ya kumkashifu utoe ushahidi kama kweli anamatatizo ya akili. Usinunue kesi kisa Wewe ni mfia Chama .Dr . Mashinji nadhani ana matatizo ya akili anaongea vitu havieleweki hawa Madaktari waliosomea Urusi wengi wanakuwaga na matatizo ya akili hana tofauti na Dr. Shika