Ukiwa humu jukwaani, stori za urahisi wa upatikanaji wa wanawake Lindi zinafika elfu moja au zaidi kwa siku. Picha inayokuja kichwani ni kwamba ukifika tu wanakukimbilia......Big no!
Nina wiki ya pili sasa nahangaika na upwiru (genye) wangu bila mafanikio. Kila nikiwasimamisha na kuwaelewesha...
Hili linanishangaza sana!
Kutana na mtu wa Arusha au moshi umsikie anavyoponda Kanda ya Ziwa na mikoa mingine.
Nenda Ruvuma ukutane na mhehe umsikie anavyoponda Ruvuma.
Nenda kusini ukutane na mwalimu ajira mpya kutoka kigoma au nzega huko na aliyeisotea ajira kwa miaka mitano huku macho...
Kwa akili hizi Acha tope la hanang liendelee kutuzoa. kumbe hivi ndivyo deni la nchi linavyoshughulikiwa? Ndivyo diplomasia ilivyo?!!! Kweli niko mbali na dunia.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msemaji wao, mtoa mapichapicha yao humu amevamia pia suala la mpango lakini nalo limebuma kama hayo mengine. Tukiweka unyumbu pembeni, umeongea kitu sahihi kabisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.