hii kesho inaonesha wazi wengi wanaofungwa jela ni either wamelazimishwa kukiri makosa au wamehukumiwa kinguvu kwaHakimu na serikali kutafsiri Sheria wanavyotaka wao, sivyo inavyotakiwa
kwa wale wenye kumbukumbu Wenje alitangazwa Mwanza baada ya wananchi usiku kuanza kuchoma ofisi za CCM sawa sawa na Mbeya na Arusha...haiwezekani Viongozi wa serikali za mitaa na vitongoji hatukuwachagua watuongoze, labda wakaishi Polisi
hapana nakataa watu hawajawa organized, BAVICHA wanafanya kazi gani ground? Mahinyila atuambie harakati gani za kimya kimya zilizoanzisha kuwasha moto? vipi kuhusu BAWACHA? Vipi Viongozi wa majimbo? nauliza Mmasai walijikusanya tu bila kuwa organized? Viongozi wawe tayari kufanya harakati za moto.
Ni kweli, Hawa jamaa wanapooza harakati, yaani Wamasai wamejua kupigania ardhi Yao kwa maandamano na mgomo. Kwanini wasijifunze kule iwe serious case study tuma watu ujue wanafanyaje, alafu waje na mkakati. Lissu atashangaa mpaka anaachiwa hatujawahi kuaandamana kumdai aachiwe, we aren't such weak.
Kila siku Heche anarudia maneno Yale Yale "tukipewa nchi tutafanya a, b, c... mara wekeni fair environment tupige dakika tisini" CCM siyo wajinga wanatumia Dola kubaki madarakani....Heche, Heche Heche njoo na mkakati hatuutaki kulalamika tumechoka
Habari ya Leo GT.
Kwa hili CHADEMA CHUKUENI HATUA;
1: Kesi hizi zilitengenezwa ili muanze kuhangaika na muhimili wa mahakama, Je nia yao ni nini?
a: Kupunguza pressure mtaani
b: Kupunguza mzigo kwa CCM
c: CCM na watu wao kujificha katika muhimili mwingine, ionekane ya kwamba...
Mwamba (mtuhumiwa) kaahirisha shauri kwa niaba ya hakimu. hiki kipengele kilinifurahisha mnooo japo ninahuzuni nilicheka kama fala. May 6 nilipandisha Uzi humu "LISSU AJITETE MWENYEWE"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.