Recent content by whitehorseV

  1. W

    Kajala: Natamani kumlipa Wema Sepetu mil 13 zake

    Bora ule Mboga za majani uraiani kuliko wali na nyama jela
  2. W

    Kajala: Natamani kumlipa Wema Sepetu mil 13 zake

    Hata akirudisha haina thamani ya 13m iliyomtoa jela
  3. W

    Wanaume-Je ni kitu gani kinawavutia kwenye hii picha?

    Lile kabati nyuma pale
  4. W

    Hizi tetesi ni kweli kuhusu Nyerere?

    Itakusaidia nini wewe mshukuru kwa uhuru
  5. W

    Hataki unyumba na mimi kisa nina govi

    Uchafu wako peleke Watu wa mila zenu.
  6. W

    Nisaidieni jaman mke wangu ataniua

    Kizuri kula na nduguyo. Endelea kumzungusha hili sie tumpate
  7. W

    Nawahurumia Wanaume wenye Sura Mbaya sana

    Hakuna mtu mbaya Duniani. Kila mtu ameumbwa kwa makusudi ya mtu fulani. Kwa mfano sura yako hata wazazi wako waniongezee na hela. Siwezi kuwa nawe
  8. W

    Sijui nianzie wapi?

    Amini maneno yangu msamehe kwa roho nyeupe Haji rudia Tena. Mimi yalinikuta yako na tulikuwa na watoto wawili.
  9. W

    Kumbe ana mtoto nimemuacha na nimemfukuza

    Sasa utakuja kuoa mwanamke aliyekubuu kutoa Mimba. Au kuchomekewa mtoto.
  10. W

    Jamani mbona wanawake siku hizi wamekuwa na makalio makubwa?

    Mbona rahisi. Kuna style inaitwa popo kanyea mbingu
  11. W

    Kama wewe ni mgeni Shinyanga mjini, usilale Buchosa guest house inafuga vibaka na majambazi

    Leo nimefikia Hapa, Hawa madada poa wapo ila leo atakaye jilengesha na Fila, huku nikiwa subiri vibaka
Back
Top Bottom