Kijanaa unanishangaza,, mmu ulikuwa unatafuta msichana,, sasa unatafuta kazi... Nisikuvunje moyo ngoja waje wanaotafuta watu wa kuwaajili,,, ila ushauri wangu.. Ww ni bado kijana mdogo kwann usirudie mtihani ujipange upya... Umri wako unaruhusu ehe...