Recent content by White sky

  1. W

    Natafuta wateja wa uhakika wa Asali

    Asante kwa ushauri nami najifunza
  2. W

    Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

    Aisee unamtaji mkubwa ingekuwa mm ndo nina mtaji huo hakika singeweka wote ningeanza na million 10 tu nyingine baadae kwa wazo nililonalo
  3. W

    Vip interviews za Amref Afrika pale Dar makaomakuu

    Hv hawajaita kumbe kny interview nilijua watu washapata shavu
  4. W

    Natafuta wateja wa uhakika wa Asali

    Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia...
  5. W

    Majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usaili wa Mahojiano TRA?

    Ndugu rudi nyumbani Yawezekana ikachukua hata mwezi
  6. W

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    status. Job seekers Education level: Degree. Currently location : urambo field: business Administration. Exprience :4 year. 1...
  7. W

    Msaada wa Kupata juu ya Interview ya TRA

    Ndio ni Kweli ndo maana naona wacha nikapambane hata ile ya WCF nilikosa kwenda sasa hii sitaki kuacha kwenda
Back
Top Bottom