Recent content by White party

  1. White party

    Kusinzia Kanisani ni Dalili ya Kuingiliwa na Mapepo

    Hata darasani,wakati wa somo muhimu kabisa, mwalimu akiwa hana ladha wanafunzi husinzia
  2. White party

    Utamkumbuka Kassim Majaliwa kwa jambo lipi?

    Ni awamu imepita apumzike, pengine mpaka kapumzika kaona mengi huko jikoni
  3. White party

    Gemini (Mapacha) wenzangu mnatumia mbinu gani kushindana na Egoism?

    Hata mimi najisikia kama wewe isipokuwa kipengele cha kuhisi najua kuliko binadamu wote,hakuna anayejua kuliko wote,start feeding your ego that! Kuhisi unajua kuliko wote ndio kutojua kwenyewe.
  4. White party

    Niulize chochote kuhusu biashara ya duka la rejareja

    Nimeanza na 1.7 na eneo ni zuri kwakweli, nilikua na 2.3,kama 600 ikapungua kwenye kodi,kurekebisha fremu kidogo na kuandaa baadhi ya vifaa
  5. White party

    Niulize chochote kuhusu biashara ya duka la rejareja

    Nimeanza nayo mwaka huu,si haba natumai itaendelea kuwa nzuri hivi hivi
  6. White party

    Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

    Alikua na sababu zake, huwezi jua labda step faza alikua abusive
  7. White party

    Kariakoo haina umuhimu kwa uchumi wa nchi kama tunavyo aminishana Bongo lala

    Kwahiyo wewe unavyoona Tanzania ina viwanda gani vya kujaza kariakoo?
  8. White party

    Kodi ya Majengo ni shimo lingine kwa Rais Samia

    Kwahiyo tutakatwa live na kwenye umeme?? Ni mwendo wa kukatwa tu nchi hii
  9. White party

    Tahadhali: Sishauri Mbowe na Lisu kutumia helicopter katika mikutano ijayo

    Kwa nini vijana wa siku hizi hawajui kuandika??? Wanafundishwa na nani??!! "TAHADHALI" ni nini?? Inaudhi!!
  10. White party

    Hivi kwanini tunajamba na kujisaidia haja kubwa?!! Mbona ni vitendo vya aibu sana?!!!

    Vitendo vya aibu vinaleta balance katika utu na kuheshimiana na kuonyesha binadamu wote ni sawa, imagine wafu fulani fulani wangekua hawajambi wala kunya ingekuwaje? Au ikifikia level fulani ya umaarufu au pesa hujambi ingekuwaje? Mungu fundi bwana,.. tujambe tu wote ili tuheshimiane
  11. White party

    Kwa sasa jukumu la kusomesha watoto apewe mwanamke pekee, wanaume tunadharaulika sana watoto wakifikia kilele cha mafanikio

    Watoto ukitaka wakudharau na kukutenga wakikua basi mtese mama yao, ujanani hukujali wanao waliishi vipi ni kutoka alfajiri kurudi usiku wa manane uko bwax na matusi ovyo ovyo leo umezeeka watoto wakupende hiyo vipi?? Hawakukuzoea tangu watoto ukubwani watakuwaje close
  12. White party

    Hivi inakuaje binadamu mwenzio anakuwinda maisha namna hii?

    Nahisi watu wa mitandao ni wezi na huwa wanasikiliza maongezi yetu, mimi hutokea mara nyingi nikiongea na mtu kuhusu kutuma hela lazima msg ya Tuma kwenye namba hiii ije. Kuwa muangalifu ikiwezekana piga simu hata mara3 uhakikishe aliekutumia msg ndie?? Mpigie kwenye namba yake sio hiyo ya msg...
Back
Top Bottom