Wewe ndio kilaza namba moja,kijana mwenye nguvu na misuli uko unajitolea na kufuatilia walioajiriwa na kulipwa mishahara wanafanya nini badala ya kufanya kazi za kiuanaume ukwamue maisha yako...shame!
Wimbo ungekuwa haufai serikali ingeufungia kama inavyofunga za Roma mkatoliki na Ney wa mitego, kila mtaa sasa hivi ni hanii hanii pengine hadi watoto wake huko nyumbani wanaimba,kazi kuonea walimu tu. Naungana na wewe huyu waziri ni kilaza!!
Kwa siasa zilivyovamia mashuleni,acha viboko viendelee, utaratibu wa sekondari uwe kama vyuo,kuwe na course work,sup na disco kiufupi waondoe mtihani wa taifa hapo ndio itajulikana anaetaka shule atabaki na asiyetaka ataondoka na sio kuwachosha walimu.
Tanzania hata tuchukuliwe tupelekwe huko Japan tutakula vya huko vitaisha tutabaki makapuku tena,tumezoea anasa na starehe za kuzidi uwezo kutoboa ni ngumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.