Recent content by which is which

  1. W

    Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

    aisee hapo una mtihani mkubwa sana,,, sbb ukimlala utajishushia heshima. na usimpomfanya atakutangazia wewe sio rijali.. cha msingi mweleze kuwa uzalendo umekushinda then uhame chumba na heshima yako ibaki palepale mwanaume rijali
  2. W

    bibi na usafiri mbagala!!!!

    teehhhhhhhhhhhh mi hoi
  3. W

    Bonyeza cha katikati

    kwa hiyo hata tuliojiunga leo tuanze kazi ya ziada ya kusearch vichekesho ambavyo vishaandikwa humu???????? kama imekuboa mimi kurudia si upotezee tu kwani lazima ucomment?? au umekosa kazi ya kufanya?? au hizo hela unazoweka kwenye modem,, au unazoingilia cyber cafe,, au unazoweka kwenye simu...
  4. W

    Tutachati baadae MPENZI wangu, niko na hili kubwa jinga...

    ningepotezea wala simuulizi,,, nitaendelea kufurahi nae kama kawaida,, hata tukienda nyumbani wala simuulizi tena hiyo siku nitaongeza mapenzi kwake,,, UNAJUA KWA NINI?? adhabu ya mzinzi ni kutokumuuliza pindi unapogundua uzinzi wake na yeye akajua kuwa umejua YANI IYO NI ADHABU TOSHA,, na...
  5. W

    Jinsi ya kumjua msichana mwenye mapenzi ya dhati na ya kweli!

    inategemea na wewe jinsi ulivyokutana nae nikimaanisha wakati unamtongoza, je ulitanguliza pesa? maana wanaume wengi wamekuwa wakitanguliza pesa pindi wanapowaitaji wasichana isitoshe wanawake wengi wapo kipesa zaid. SASA KWA WALE WENYE WANAWAKE PINDI HAWANA KIPATO NA WANAWAKE WAMEWAKUBALI...
  6. W

    Bonyeza cha katikati

    jamaa mmoja alichelewa kuamka kwenda kazini,, ivyo alipokuwa njiani akiendesha gari kuelekea kazini,, ilibidi aandike msg kumtaarifu boss wake kuwa atachelewa kufika ofisini,, sasa alipomaliza kuandika msg,, akaandika na namba ikabaki kusend,, kabla hajasend dirisha likiwa wazi akatokea kibaka...
  7. W

    Waziri magufuli

    watanzania mnadai Magufuli ndie waziri mwenye jina baya angalia haya sasa; David Kinembe (miundo mbinu Kenya) James Kakuma (Biashara Zambia) Akaja Akatombeka (Nishati Ghana) Nalia Namboo (Sheria Botswana) Antonie Chipumbu (fedha Msumbiji) Chirambo Kafirwa (Mazingira Malawi) Rozia Kamkundu...
  8. W

    Mlevi na daladala.

    so fun :lol:
Back
Top Bottom