Mleta uzi ni nyumbu unaezaa centimeters chache kutoka umbali alioko simba, atakutafuna tu penda usipende..nyang'au mkubwa wewe, wahedi kwabisa..nyambafff...katishie familia yako huko mashenzini..
Nashauri Tumaini Makene, uwe na tabia ya kua nasubira ya kupata habari za uhakika..unatuaibisha makamanda, tunaonekana wazee wa sanaa kwa sababu ya haraka yako ya kutoa habari.Ila tunaamini ni matatizo ya mitambo ya ITV ambayo iko nje ya uwezo wako..but ni vyema kuwajuza watu kuliko kukaa kimya.
Chadema tunakupongeza sana JK kwa kujitahidi kutekeleza ahadi yako ya kuiua CCM kabla ya 2015, tulidhani unatania kumbe uko serious. .kwa style hii ya kauli ya kuhakikisha CCM unawapoteza njia nimeikubali, makubwa jinga ya CCM yatakuja kwa raia kupiga piga ovyo alafu wananchi wakose nao imani...
Chris Lukosi, tafuta size yako..usiwe kama baby madaha kwa diamond platinumz, unatafuta kick ya kisiasa kupitia wenzio..you know exactly where to report your stupidity then unaleta huku JF..tafuta mashoti wenzio ila sio Lema, he is of another level.
Jk anajaribu kuwatisha wana CCM wa Kalenga, hii inatokana na ujinga na ubabe wa CCM kurithishana madaraka..does it mean watumishi wa CCM kalenga miaka yote hiyo mliokitumikia chama mmekosa mgombea kiasi cha mjukuu wa miaka 32 kuwaongoza au mmelazimishwa tu kwa sababu mnawaogopa maboss zenu..any...
Joyce Kiria jamani amemzalilisha sana Henry Kileo..alishindwa nini kikaa chumbani na mme wake wakayajadili hayo mambo alafu akayaachia huko huko kwake...ndio naanza kupata uelewa kwa nini uliachika na mume wako wa kwanza..viongozi mashuhuri, directors, wanasiasa nk wanawashauri wao...
Joyce Kiria huna tofauti na kuku aliyewekewa mahindi chini alafu bado anakwarua kwaru na miguu yake kucheki chini kuna nini zaidi wakati mahindi yako juu anayaona..ulishindwa kutumia intelligence na democracy kwa mume wako wa kwanza, sasa unajiingiza kwenye familia za watu...does it mean Henry...
Hakuna hata moja litakaloaminika...amechelewa sana..angeyasema akiwa chamani..hatutamtofautisha na Nahodha baada ya kutimuliwa uwaziri akaanza kubwabwaja pumba zake...poor zito go to babu momose cheo he might assist you..
Mkuu usisahau na wale wa singida, hawajalipwa hela yao ya mahindi waliosupply serikalini up to this moment..na serikali imegoma kurudisha mahindi ya wakulima wakayauze kwa masoko mengine at least wakulima wapate ada za watoto wao waliopangiwa shule za kata...
Dah! Mkuu amepanic kishenzi...alafu kama vile yuko alone...ndio maana jasho linamtoka sana..jamaa amepanic mbaya...jamani magamba msaidieni huyu mtu atazirai kwenye keyboard yake..
Pole kwa ulimbukeni, na jitahidi usile ugali wa shikamoo..haujui hata umeme wa ten thou ulikua ni 18 units, wewe unakazana kusema amefuta 2 hapo kwenye receipt..poor you, mwambie baba akufukuze nyumbani
ukajitegemee pengine utajua bei za vitu..
Jamani although am late, ila nimecheka mpaka basi...kuna moja niliangalia jamaa akawa anataka kumuambia mwenzie unafanana na kababu kazee.."hey you look like a grandfather"
na movie nyingine eti mtu anaamka asubuhi from bead (ki movie movie sasa) kajiparaaaaa domo limejaa makeup utadhani...
Chabruma na mwenzio mtasubiri sana...hata mwalimu alishatabiri kifo cha CCM, among the great mistakes ccm mtakazozijutia ni kua na gaidi Mwigulu, mtalikumbuka shuka kukiwa kumekucha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.