Kama unashida na kitabu chochote kile cha Kiingereza lugha na hasahasa maswala ya IT lakini pia na mambo mengine, wasiliana na mimi kupitia inbox yangu,
NOTE: PDF format only!
Bei kuanzia 2000 nakuendelea kupitia PAYPAL, mobile money kama M-pesa, AirtelMoney au cash. Wenye kiu yakusoma kazi...
Tunahitaji mtu mchapa kazi mwenye uwezo wakuelewa mambo haraka clients wetu ni Watanzania so awe na communication skills nzuri. Malipo makubaliano na yatapanda kulingana na juhudi.
Niinbox kama una computer na internet yakuaminika!!
magufuli siamini kama ataweza kuzima vumbi la rushwa lazima mparakano wa viti ufanyike ndio tuanaweza kuyaona mabadili, watu wenye fikra tofauti hatakama hawana uzoefu kujifunza kwao ndio mwanzo wakufukua uozo uliowekwa na ccm miaka nenda rudi. Watu hawapendi mabadiliko lazima mjue hilo jamani...
Nimeishi Ulaya yapata miaka 9 kwa sasa, nimefanya kazi mbalimbali mpaka mashambani kufuga na kulima, mkulima ulaya nika unavyomsikia baresa mengi na matajiri wengine bongo, asikudanganye mtu. Nilipata kuiba taratibu wanazo zitumia kufuga kuku na wanyama wengine kuanzia kujenga banda, kulisha...
Naombeni kusikia kutoka kwenu wadau,
Maana kuna mtu tulikua tunabishana sana kuhusiana na hili jambo lakini hatahivyo alinipa references fulani kutoka kwenye internet wazungu wanavyosaida wanawake ambao hawajawahi kufika kileleni au kupata aina zote 13 za vileleni kila aina na video yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.