Recent content by WFM

  1. W

    Changamoto zinazoikabili Taasisi ya Teknolojia ya Dar (DIT) zinazopelekea ishindwe kuchangia kikamilifu Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii Tanzania

    Nadhani huna taarifa sahihi kuhusu hicho chuo. Mpaka sasa DIT sio chuo kikuu bali ni taasisi inayotoa elimu ya ufundi na uhandisi (technical & engineering education).., wakati inaanzishwa mwaka 1957 Tanzania haikuwa na chuo chochote kilichokuwa kinatoa kozi ya ufundi. Ndo maana ikaanza kama...
  2. W

    Changamoto zinazoikabili Taasisi ya Teknolojia ya Dar (DIT) zinazopelekea ishindwe kuchangia kikamilifu Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii Tanzania

    Mkuu naomba tafsiri ya "college" na university kwa kiswahili.., maana naamini DIT ilikuwa technical college tangu 1957.
  3. W

    Tumwone Membe akichapia mbele ya press

    Usalama Wa Taifa (UWT)
  4. W

    Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

    Mfalme Daudi alikuwa mtumishi wa Mungu na Mfalme wa Israel (utumishi wa kisiasa); Na hivyo kwa Suleiman na hata akina Eliya waliokuwa manabii per se waliingilia na kukemea maamuz ya viongoz wa kisiasa hadi kufkia hatua ya kuwindwa kuuawa.., Soma vizuri Biblia utaelewa ndgu..!
  5. W

    Mbowe na Mnyika jiendelezeni kielimu mpate shahada ya Chuo Kikuu

    Wakipata degree ndo zitakushawishi kurudi CDM..? Au zitakuwa na msaada gani kwako binafsi? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. W

    Lissu: Kukamatwa kwa ndege South Africa tusidanyanywe na kutupiana lawama, Serikali inatakiwa kulipa madeni

    Mkuu nafuatilia thread zako kuanzia kwa britanicca na sasa kwa Lisu, lakn hapa umenichanganya. Hivi inawezekana akina Zitto na Kafulila wakalaumiwa kwa wale wazee kusota rumande..? Na je, katk hiyo pesa ya escrow hakukuwa na madai yoyote ya kodi ya serikali ambayo yalitakiwa kuwa settled baada...
  7. W

    Mbeya: Kijana mvuta sigara adaiwa kusababisha moto ulioteketeza shamba la ngano Uyole

    Kwaio ... ata ... zikiteketa...??? Naona Kiswahili kinasikilizia maumivu. Naamini umesoma Kiswahili lakini unakiharibu maksudi
  8. W

    Rais Magufuli kuzindua Hifadhi ya Burigi, Julai 9, 2019

    Watalii wengi wanaotembelea Serengeti wanafkia hifadhi wakitokea Mwanza au Arusha na sio Musoma. Pori la Burigi limeungana na lile la Biharamulo ambalo limebadishwa mipaka na sehem yake iko Chato kwa sasa. Hivyo, inawezekana hata kuitwa Hifadhi ya Chato na ikaleta maana. Pia, ndani ya pori la...
  9. W

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Sio Wafalme mkuu ni Mithali 24:27. Ukisoma English versions ndo unaweza kupata tafsiri nzuri Sent using Jamii Forums mobile app
  10. W

    Dhahabu ya mabilioni na mamilioni ya shilingi taslimu yakamatwa Mwanza!

    TRA na Polis kwenye Elution..? Unayo plant wewe huwa wanakuJa TRA na polis au unasikia hadith za viJiwen. Maafisa wa TMAA wao wanakazi gani au lini sheria ya madini imebadilika..? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. W

    Dhahabu ya mabilioni na mamilioni ya shilingi taslimu yakamatwa Mwanza!

    Hahahaaa..! Hilo gazeti nalo mbona kituko. Dhahabu ya 3Trn itabwebwa kwa gari ndogo..? They cant be serious. Yani wandishi wetu ni shida. Mtu haJui hata kujifunza hataki Sent using Jamii Forums mobile app
  12. W

    Dhahabu ya mabilioni na mamilioni ya shilingi taslimu yakamatwa Mwanza!

    Hiyo ni bei ya Gram. KG ni habari ndefu acha kabisa. Utaratibu wa kununua dhahabu ndo ulvo wala cdhan kama hao wahindi wanaJipya wamefanya. Wakiwa-harass hao wahindi utackia kilio cha wachimbaJi wadogo. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. W

    Kwa heri viwanda vya sukari Tanzania

    Nadhan wewe ni Engineer au uko kwenye industry na hivyo unaweza kuJadil kwa facts kulko wengi humu. Ni wachache wanaweza kukuelewa lakn usikate tamaa..!
  14. W

    Jaji mstaafu anakuwa mwoga kazini kuliko hata fresh graduate, TZ ni nchi ya ajabu sana.

    Unaweza kusoma kitabu cha Rich Dad Poor Dad cha R. Kiyosak utapata maJibu ya kwa nini wanakuwa waoga kupoteza kazi wakati walishastaafu. WFW
  15. W

    Ukijua nchi inavyoharibiwa unaugua hulali

    NduGu yangu sijui kiwango chako cha elimu lkn ktk hik ulchochangia ni wazi hujui vigezo vinavyotumika ili kiwanda kijengwe mahal fulan..! Moja ya kigezo kikubwa ni upatikanaji wa malighafi... Hivyo ni muhim kuwekeza ktk kilimo na viwanda vitajileta vyenyewe kufuata malighafi. Wakati mwingine...
Back
Top Bottom