Jaji mstaafu anakuwa mwoga kazini kuliko hata fresh graduate, TZ ni nchi ya ajabu sana.

lukoma

JF-Expert Member
Jul 1, 2013
2,995
2,245
Jaji amefanyakazi miaka 40 serikali, amestaafu na mafao yake amepata kwa bahati mbaya (nasema bahati mbaya kwa sababu wastaafu wengi hawana msaada kwa taifa wanapoteuli baada ya kustaafu ) kuwa mwenyekiti wa bodi fulani au tume ya uchaguzi au hata ka ukuu wa wilaya anaonekana kuwa mwoga kazini zaidi ya walioanza kazi fresh kutoka vyuoni. Tujiulize hawa wanamatatizo gani. Je kweli ni uoga wa maisha? Kifo tunasema hujui uendako je kufukuzwa kazi wakati ulikuwa umeshastaafu ni jambo la kuhofia?
Wako wengine kwenye mashirika binafsi walishafanya kazi serikalini kama wakurugenzi, makamishina, wakuu wa idara sasa wamestaafu wamepata kazi kwenye NGOs, yani waoga, wanafiki kwa kuogopa kufukuzwa. Wengine wanavyotetemeka kwa mabosi wao utafikiri ameambiwa kesho bado sekunde ufe labda hata timiza malengo yake kumbe anaumri wa miaka 70!!!

Watanzania tunashiga gani!!
 
Jaji amefanyakazi miaka 40 serikali, amestaafu na mafao yake amepata kwa bahati mbaya (nasema bahati mbaya kwa sababu wastaafu wengi hawana msaada kwa taifa wanapoteuli baada ya kustaafu ) kuwa mwenyekiti wa bodi fulani au tume ya uchaguzi au hata ka ukuu wa wilaya anaonekana kuwa mwoga kazini zaidi ya walioanza kazi fresh kutoka vyuoni. Tujiulize hawa wanamatatizo gani. Je kweli ni uoga wa maisha? Kifo tunasema hujui uendako je kufukuzwa kazi wakati ulikuwa umeshastaafu ni jambo la kuhofia?
Wako wengine kwenye mashirika binafsi walishafanya kazi serikalini kama wakurugenzi, makamishina, wakuu wa idara sasa wamestaafu wamepata kazi kwenye NGOs, yani waoga, wanafiki kwa kuogopa kufukuzwa. Wengine wanavyotetemeka kwa mabosi wao utafikiri ameambiwa kesho bado sekunde ufe labda hata timiza malengo yake kumbe anaumri wa miaka 70!!!

Watanzania tunashiga gani!!
An Organisation reflects the society's behavior. Kanuni ya Social & Political Science inakataa kabisa: huwezi ukapata kiongozi mwenye akili kwenye jamii ya wajinga ama ukapata kiongozi anayechukia rushwa kwenye jamii ya wanuka rushwa.
Mnawalaumu bure wateuliwa na kujisahau ninyi wenyewe jinsi mlivyo waoga. Nani alikwambia haki inaombwa?
Haki mara zote hudaiwa, that's all.
Ukiona watu wanaridhika na hiyo hali, huyo mteuliwa ni nani yeye airekebishe? Yeye ndiye aliyepigiwa kura na kuingia contract na electorates?
So, tuji-reflect sisi wenyewe katika maisha yetu - tunapodai haki, tunatekeleza wajibu wetu?
 
An Organisation reflects the society's behavior. Kanuni ya Social & Political Science inakataa kabisa: huwezi ukapata kiongozi mwenye akili kwenye jamii ya wajinga ama ukapata kiongozi anayechukia rushwa kwenye jamii ya wanuka rushwa.
Mnawalaumu bure wateuliwa na kujisahau ninyi wenyewe jinsi mlivyo waoga. Nani alikwambia haki inaombwa?
Haki mara zote hudaiwa, that's all.
Ukiona watu wanaridhika na hiyo hali, huyo mteuliwa ni nani yeye airekebishe? Yeye ndiye aliyepigiwa kura na kuingia contract na electorates?
So, tuji-reflect sisi wenyewe katika maisha yetu - tunapodai haki, tunatekeleza wajibu wetu?
Unachosema ni kweli, kwamba haiwezekani nchi ya wajinga upate kiongozi mwenye akili. Ila pia nadhani Mungu huwaga anaingilia kati wakati fulani. Ndio maana Tanzania tulimpata Nyerere. Watu kama hao huzaliwa mara moja tu kwa karne
 
Wewe koma ku generalize mambo kijana mdogo, upupu wako peleka fb, pathetic chromosome retard walahi
 
Hv yule m/kiti wa Nec alikuwa jaji wa mahakama kabisa au lile ni jina tu??
Hata mimi ninajiuliza swali hilo hilo na bado sijapata majibu.
Na kama kweli alikiwa jaji wa mahakama kuu basi ningeomba kama kuna mtu anakumbuka baadhi ya kesi alizohukuma ili tuone aina ya hukumu alizotoa
 
Jaji amefanyakazi miaka 40 serikali, amestaafu na mafao yake amepata kwa bahati mbaya (nasema bahati mbaya kwa sababu wastaafu wengi hawana msaada kwa taifa wanapoteuli baada ya kustaafu ) kuwa mwenyekiti wa bodi fulani au tume ya uchaguzi au hata ka ukuu wa wilaya anaonekana kuwa mwoga kazini zaidi ya walioanza kazi fresh kutoka vyuoni. Tujiulize hawa wanamatatizo gani. Je kweli ni uoga wa maisha? Kifo tunasema hujui uendako je kufukuzwa kazi wakati ulikuwa umeshastaafu ni jambo la kuhofia?
Wako wengine kwenye mashirika binafsi walishafanya kazi serikalini kama wakurugenzi, makamishina, wakuu wa idara sasa wamestaafu wamepata kazi kwenye NGOs, yani waoga, wanafiki kwa kuogopa kufukuzwa. Wengine wanavyotetemeka kwa mabosi wao utafikiri ameambiwa kesho bado sekunde ufe labda hata timiza malengo yake kumbe anaumri wa miaka 70!!!

Watanzania tunashiga gani!!


Humuhumu kwenyewe JF kuna mijitu tulikuwa tunapiga kelele weeh, leo tumeteuliwa unatusikia tena? Wengine tumebadili IDs zetu ili tufunike sura zetu. Hao majaji unawaonea tu, sote ni walewale tu! Labda tuanze kubadilika sisi wanajamii ili tutoe hao unaowahitaji.
 
Jaji amefanyakazi miaka 40 serikali, amestaafu na mafao yake amepata kwa bahati mbaya (nasema bahati mbaya kwa sababu wastaafu wengi hawana msaada kwa taifa wanapoteuli baada ya kustaafu ) kuwa mwenyekiti wa bodi fulani au tume ya uchaguzi au hata ka ukuu wa wilaya anaonekana kuwa mwoga kazini zaidi ya walioanza kazi fresh kutoka vyuoni. Tujiulize hawa wanamatatizo gani. Je kweli ni uoga wa maisha? Kifo tunasema hujui uendako je kufukuzwa kazi wakati ulikuwa umeshastaafu ni jambo la kuhofia?
Wako wengine kwenye mashirika binafsi walishafanya kazi serikalini kama wakurugenzi, makamishina, wakuu wa idara sasa wamestaafu wamepata kazi kwenye NGOs, yani waoga, wanafiki kwa kuogopa kufukuzwa. Wengine wanavyotetemeka kwa mabosi wao utafikiri ameambiwa kesho bado sekunde ufe labda hata timiza malengo yake kumbe anaumri wa miaka 70!!!

Watanzania tunashiga gani!!
wewe unafikiria mwisho wa pua yako wenzako wanaangalia maisha ya watoto wa watoto wao
ukitoka kwenye system kurudi ni vigumu sana
 
wewe unafikiria mwisho wa pua yako wenzako wanaangalia maisha ya watoto wa watoto wao
ukitoka kwenye system kurudi ni vigumu sana
Umeshindwa kufikiri zaidi ya matundu ya pua yako kwa miaka 40,000 ukiwa Jaji utawenza ndani ya miaka 2!! Sijui babako ndiyo amestaafu!
 
Umeshindwa kufikiri zaidi ya matundu ya pua yako kwa miaka 40,000 ukiwa Jaji utawenza ndani ya miaka 2!! Sijui babako ndiyo amestaafu!
ni sawa na kutegemea mavumo pembezoni mwa shamba wakati katikati hujavuna chochote.
Tunawaona huku private sector wansongeza mikataba tu kila mwaka 65+ na ni wanoko kweli.
Vijana tuna jambo la kujifunza otherwise tutaelekea hukohuko maana hata wao walikuwa vijana kama sisi.
 
An Organisation reflects the society's behavior. Kanuni ya Social & Political Science inakataa kabisa: huwezi ukapata kiongozi mwenye akili kwenye jamii ya wajinga ama ukapata kiongozi anayechukia rushwa kwenye jamii ya wanuka rushwa.
Mnawalaumu bure wateuliwa na kujisahau ninyi wenyewe jinsi mlivyo waoga. Nani alikwambia haki inaombwa?
Haki mara zote hudaiwa, that's all.
Ukiona watu wanaridhika na hiyo hali, huyo mteuliwa ni nani yeye airekebishe? Yeye ndiye aliyepigiwa kura na kuingia contract na electorates?
So, tuji-reflect sisi wenyewe katika maisha yetu - tunapodai haki, tunatekeleza wajibu wetu?
Tukubali, tusikubali wa-Tz tumegeuka ama tumegeuzwa makondoo. Hatuna uthubutu wa kudai haki zetu (mfano, kusimama kidete na kusema utawala wa sasa uzingati katiba pamoja na mapungufu yake mengi). Ukondoo unarithishwa kutoka kizazi anachokitolea mfano mleta hoja (wazee wa sasa) hadi kizazi kipya (vijana wa sasa). Ninafikiri vijana wa sasa ni wakondoo zaidi kuliko hata wazee wao. Ukondoo umetamalaki. Labda itokee Muumba afanye muujiza. Ni kwa nini ukondoo umetamalaki? Pengine jibu la swali hili litahitaji western scholarship kama wako tayari kulifanyia utafiti. Ni bahati mbaya sana!
 
ni sawa na kutegemea mavumo pembezoni mwa shamba wakati katikati hujavuna chochote.
Tunawaona huku private sector wansongeza mikataba tu kila mwaka 65+ na ni wanoko kweli.
Vijana tuna jambo la kujifunza otherwise tutaelekea hukohuko maana hata wao walikuwa vijana kama sisi.
Hakuna mzee jasiri duniani,kuna wazee watekelezaji wa matakwa yao kupitia vijana jasiri..Vijana jasiri ndio wanapaswa kuangalia A mpaka Z kama zina maslahi kwa wengi au wachache.
 
Unachosema ni kweli, kwamba haiwezekani nchi ya wajinga upate kiongozi mwenye akili. Ila pia nadhani Mungu huwaga anaingilia kati wakati fulani. Ndio maana Tanzania tulimpata Nyerere. Watu kama hao huzaliwa mara moja tu kwa karne
Nyerere aliambiwa "hamuwezi kujitawala" akashupaza shingo
 
Back
Top Bottom