Changamoto zinazoikabili Taasisi ya Teknolojia ya Dar (DIT) zinazopelekea ishindwe kuchangia kikamilifu Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii Tanzania

Topic imekuja public,na mimi ni raia wa public,ninaweza kuchangia ninavyotaka

Kama ulikua hutaki nichangie ungeipeleka private huko!

Naona umepaniki mpaka unatukana to make your soul feel good!

Hahahahaaa

Facts ni facts hata ukitukana hazibadiliki,ni facts!

Unatuletea makala huku JF as if sisi JF tuna executive powers na DIT,nah....wapelekee DIT kwanza,then utuletee

Kapata mmoja wenu hicho cheo,nyie wengine tulizeni matako,zamu zenu zitafika!
Kwa hiyo na wewe ulijiona ndio umecomment cha maana pale.
Ama kweli naamini kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa miguu.
Wewe hukuona aibu comment yako ilikuwa ya ajabu na tofauti na wachangiaji wengine
 
Mwandishi ni wewe,umerudi na ID ingine

Hahahaaaaa...

I know

Tukana tu,free speech,who cares?

Sio Magufuri ni Magufuli,Sio Alishauli ni Alishauri,sio msitari ni Mstari na sio Kujiringanisha ni Kujilinganisha,etc,etc

Kwanza jifunze Kiswahili sahihi,andika kwa dictations sahihi,maana post yako ni cumbersome,lousy and clumsy kusoma!

DIT ni taasisi,kuna vikao maalumu ya kutatua matatizo,hii akapeleka kwenye hivyo vikao,ajenge hoja zi-adoptiwe kama resolutions then wafanye maamuzi kutatua kwendana na kiasi cha mapato waliyonayo....JF sio kikaoni,hakuna decision making power JF has over these problems anko!

Wewe ni mtu wa Mara,I presume,nafikiri unataka kujenga picha kwa jamii kua DIT kuna matatizo sana uongozi wa pale hauwezi kutatua,hivyo viongozi waliopo sasa wapate bad image waondolewe,na I think wewe upo humo humo,then akitolewa yule Chancellor awekwe wewe au mtu unaedhani yupo in line na wewe maslahi yako,whatever that means!

Kila mahali matatizo yapo,na huwezi yamaliza hata uwe kama Mungu,nachodhani uongozi uliopo pale unajaribu kuyatatua kwendana na hela walizonazo,hawawezi fanya zaidi maana budget zao haziruhusu,thats the bottomline

Kilichopo ni kwamba,hii ni kampeni ya kumchafua aliyepo sasa hivi ,ionekane matatizo ni mengi na yamewashinda kutatua.....of which siamini kama huo uongozi ni zero kiasi hicho

Hapa ni kutaka wabadilishwe na Im sure wewe mojawapo wa beneficiaries,ndio maana by my challenge umekua mkali kama tako la mbwa

Tukubaliane,so far DIT hakuna jinai,crime done by the current admin,right?Kungekua na crime yeyote kama wizi,ufujaji,unyanyasaji,etc ungeweka hapa no doubt

Dhumuni la kuweka hii report hapa nilitaka kujua....whats the motive?Kuweka si tatizo sana,nataka kujua motive..maana hii report ingetakiwa wapewe chuo,uifikishe huko waifanyie kazi maana ndio wenye madaraka,nilitaka kujua dhumuni lako hapa JF ni lipi?Tudiscuss tu?Kuonesha umma DIT uongozi umeshindwa?Ambapo dhumuni lako ultimately unataka uongozi utolewe,nadhani uwekwe wewe!Thats the bottomline

Na pia wewe ni liongo sana kusema DIT ni "chuo kikongwe"...Wewe sio muaminifu kwa kudanganya kiasi hiki....DIT ilikua ni just sekondari ya ufundi kama ilivyo Moshi Technical mpaka juzi kikageuzwa chuo duni..mpaka leo ni chuo duni cha engineering....3rd Tier college not 1st tier!

Good luck with your wizi wizi na roho za kisenge namna hii
Jadili fact badala ya kumshambulia mtoa hoja. Nakubaliana na we we kuwa taasisi inavikao, lakini tambua vile vile maazimio yanaweza kuwa yanafikiwa lakini utekelezaji unasuasua. Pia, tambua vikao kwa system iliyo corrupt si suluhisho. Mtoa mada anajaribu kuuhabarisha umma ili habari ifike kwa mamlaka za juu, ufatiliaji wa karibu ufanyike na ikiwezekana hatua zichukuluwe.

Vinginevyo twaweza kusema na we we ni mnufaika wa huo uozo, na unaona jamaa anataka kuwaumbua na kusabisha kukata mirija yenu, otherwise usinge mu- 'discredit' mtoa mada utadhani amefanya jinai kuuhabarisha umma na kutoa Kero yake.
 
Wewe mtu wa ngwini H kunani hata ukifaulu huwezi kupata nafasi DIT utaenda huko Teufila college ukasome sociology,acha kufananisha watu wa technology na vitu vya ajabu
Na wewe ulijona umetoa thread ya maana pale?

Ama kweli DIT ni chuo cha majitu ya kata kama wewe!

Wewe ndio unaifanya watu tuone DIT hovyo sana

Sichangii thread kwa kuangalia comments za wengine wanachangia kufata upepo upi wewe kilaza!

Ulifeli shule ndio maana ukapelekwa DIT kwa msaada!

Aliepata Physics A,Chemistry A na A. Mathematics A huwezi enda DIT....DIT unaenda wewe kilaza!
 
Sijasoma DIT lakini maelezo yako..yanaharufu kali ya ukweli.
Umeelezea vizuri Sana na kuwasilisha matatizo ya vyuo vingine vingi tu vya Tanzania vyenye Hali kama ya DIT.

Natumaini wahusika watayaona haya maandiko.
 
Topic imekuja public,na mimi ni raia wa public,ninaweza kuchangia ninavyotaka

Kama ulikua hutaki nichangie ungeipeleka private huko!

Naona umepaniki mpaka unatukana to make your soul feel good!

Hahahahaaa

Facts ni facts hata ukitukana hazibadiliki,ni facts!

Unatuletea makala huku JF as if sisi JF tuna executive powers na DIT,nah....wapelekee DIT kwanza,then utuletee

Kapata mmoja wenu hicho cheo,nyie wengine tulizeni matako,zamu zenu zitafika!
Mkuu naomba tafsiri ya "college" na university kwa kiswahili.., maana naamini DIT ilikuwa technical college tangu 1957.
 
Ukweli ni kwamba ulifeli sekondari....

A-Levels hukupata A tatu wala mbili ndio maana upo kwenye hilo chaka!

Ridhika na maisha mzee

Na haya majungu unayokoroga humu ni kweli kabisa una IQ40....Mwenzako ana IQ kubwa zaidi yako ndio maana ni kiongozi wako and you are not!

Usilaumu watu wasiohusika na wewe kua na IQ ndogo hivyo!
ngoja nikupotezee tu wewe mbwa,maana ukicheka na mbwa atakuja hadi msikitini
 
Nadhani huna taarifa sahihi kuhusu hicho chuo. Mpaka sasa DIT sio chuo kikuu bali ni taasisi inayotoa elimu ya ufundi na uhandisi (technical & engineering education).., wakati inaanzishwa mwaka 1957 Tanzania haikuwa na chuo chochote kilichokuwa kinatoa kozi ya ufundi. Ndo maana ikaanza kama vocational training institution.., lakn soon 1962 ilikuwa upgraded to technical college.
Chuo au Sekondari ya ufundi kama ilivyo Moshi Technical....

Hakuna University pale....University kimekua juzi 2005 nadhani
 
Mwandishi anatafuta cheo hapo DIT...

Hii ni power struggle, kapata mwenzio,wewe kitulize!

Haya yote ungeyapeleka kwenye vikao vya chuo vifanyiwe kazi.JF nani atakusaidia kufanya decisions?Wyatt Mathewson?

Pia DIT sio chuo kikongwe,DIT kilikua kisekondari cha ufundi mpaka juzi tu hapo.....

Eti chuo kikongwe wakati ilikua ni sekondari bwana,stop this nonsense!

Kiongozi, sasa comment gani hii? Unaona ni uongo? Au unaona si uongo ila hayana maana?
 
Nchi za wenzetu wanaotutengenezea kila kitu mpaka toothpick na kandambili wanajali sana vyuo mfano wa DIT.

Sasa sisi tunaviacha viogelee kwenye lindi la matatizo na mitafaruku. Tanzania ya viwanda itawezekanaje?
 
  • Thanks
Reactions: WFM
Na wewe ulijona umetoa thread ya maana pale?

Ama kweli DIT ni chuo cha majitu ya kata kama wewe!

Wewe ndio unaifanya watu tuone DIT hovyo sana

Sichangii thread kwa kuangalia comments za wengine wanachangia kufata upepo upi wewe kilaza!

Ulifeli shule ndio maana ukapelekwa DIT kwa msaada!

Aliepata Physics A,Chemistry A na A. Mathematics A huwezi enda DIT....DIT unaenda wewe kilaza!
DIT wanaenda vilaza daaah, sawa mkuu
 
ubalikiwe sana kiongozi kwa Uzi mzuri sana na jua Serikali makini italidhughurikia
 
Sio uongo....haya ni matatizo ya ufinyu wa kibajeti na the right place ni vikao vya executive..

JF haina power ya executive to DIT

Pamoja na hayo,huyu mtoa mada anataka cheo cha boss wake akichukue yeye...

You can just see through his lines!

1. Kuna sehemu ameandika kuwa kuna kuoneana na vipaumbele kuwekwa kwenye vitu visivyo vya msingi. Sasa ufinyu wa bajeti unaingiaje hapa?

2. Wewe mwenyew humu umewahi kuandika kushauri mambo mengi mazuri na nimewahi 'kulike' mabandiko yako. Ulifanya hivyo kujenga awareness na kuwafanya wahusika wajirekebishe. Sasa huyu akifanya hivyo tatizo ni nini? Au kwasababu ni issue ya elimu? Wabongo mbona hivi jamani?
 
Nimesoma sijamaliza hawa wataalum wa hapo ni wa ajabu Sana, nilipeleka sample ya kupima udongo baada ya kuona uchakavu wa machine niliwaambia waachana na sample nikaipeleka chuo kikuu. Baadae nikawauliza kwanini mna vifaa vya 47 wakaniambia uongozi baba maabara zote vchali.

Tatizo kubwa la vyuo vikuu wakuu wa idara wanaambiwa idara yao izalishe. Ukipewa pesa za vifaa unatakiwa pesa irudi, mambo yavifaa vya kufundishia kwao hayapo kabisa. Chuo kikuu Udsm nao wana tatizo hilo vyuo vyote nilivyotembelea na kujionea mapupu vifaa vimeoza. Basi uzeni chuma chakavu mjue hamna kitu. Alafu mnatuambia viwanda. Machine za kuchonga vyuma gerezani zinazidi za vyuo.
 
Duh! Goodluck Mr. Whisle Blower. Hopefully wenye mamlaka wataona hii kitu. Wakichunguza kama kuna ukweli watafanyia kazi. Asalaam
 
Back
Top Bottom