Recent content by west2016point

  1. W

    Shinyanga: Mtoto akamatwa na polisi chini ya basi lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Arusha

    daaaaah huyo dogo ni hatari sana,inabidi apewa msaada wa haraka sana
  2. W

    Inaumiza !! Bado nahitaji kuishi na kufurahi

    pole sana huwez jua Mungu kakupangia nini usiforce mapenz kwa mtu asiyekupenda,Mungu atakupa wako wa maisha, huyo hakukupenda ndio mana alikuacha but angekuwa na real love asingekuacha, so tulia wako wa maisha anakuja
  3. W

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    nakuja pm but we kabila gani na kwa sasa upo wapi??
  4. W

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    mmmmh cna nauli ya bombadier[emoji126] [emoji126] [emoji126]
  5. W

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    je kuna gari inatoka geita to mbeya au kahama to mbeya naomba mnijuze
  6. W

    May be huyu binti alikuwa ni mkarimu?

    ktk safari mi huwa simwamini mtu coz mara nyingi wale wanaowaibia watu ndo wanapata chance za kuiba kwa kukaribisha msosi kumbe kunavitu vimewekwa kwenye chakula au vitu vya kulewesha.unapekenyuliwa mpaka bac, naogopa sana coz rafiki yangu alipewa pipi akazma akazinduka cku ya tatu hospital hana...
  7. W

    Nakosa hamu ya kuoa matukio ninayoshuhudia kwa macho yangu ama kusimuliwa

    njoooo kwangu utaishi kama malaika so usiogopeeeee[emoji126] [emoji126]
  8. W

    I'm looking for a wife material

    am coming am here
  9. W

    Am looking for a serious lady to be in relationship

    duuuuhhh dat special for those who reside in dar
  10. W

    Sababu za wanawake kuendelea kuchezewa

    poleeeeee kama yamekukuta hayoo, shukuru Mungu kwa kilajambo huwez jua kakuepusha na nini uko,
  11. W

    Sababu za wanawake kuendelea kuchezewa

    mmmmmmhhhhh wanaume ndo mnachezea wanawake coz wewe nasema kwa upande wako coz we ni mwanaume may b yamekutokea but asilimia kubwa wanaume ndi hawanauaminifu kabsaa,ata umuheshimu vpi mpenz wake but inakuwa tu for nothing,
Back
Top Bottom