pole sana huwez jua Mungu kakupangia nini usiforce mapenz kwa mtu asiyekupenda,Mungu atakupa wako wa maisha,
huyo hakukupenda ndio mana alikuacha but angekuwa na real love asingekuacha, so tulia wako wa maisha anakuja
ktk safari mi huwa simwamini mtu coz mara nyingi wale wanaowaibia watu ndo wanapata chance za kuiba kwa kukaribisha msosi kumbe kunavitu vimewekwa kwenye chakula au vitu vya kulewesha.unapekenyuliwa mpaka bac, naogopa sana coz rafiki yangu alipewa pipi akazma akazinduka cku ya tatu hospital hana...
mmmmmmhhhhh wanaume ndo mnachezea wanawake coz wewe nasema kwa upande wako coz we ni mwanaume may b yamekutokea but asilimia kubwa wanaume ndi hawanauaminifu kabsaa,ata umuheshimu vpi mpenz wake but inakuwa tu for nothing,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.