Recent content by Wernery G Kapinga

  1. Wernery G Kapinga

    Natafuta engine ya pikipiki sinoray 150 au 180 (bush road) isiyo ya timing chain

    Habari wadau wote wa usafiri. Natafuta engine kwa ajili ya kufufua pikipiki yangu. Sinoray 150 au 180 naielewa zaidi. Isiwe timing chain. Tafadhali tuwasiliane 0754004189
  2. Wernery G Kapinga

    Nililipia bidhaa mtandaoni, lakini kiasi kama kile wamekihold kwenye account yangu. Hii imekaeje?

    Wiki Moja iliyopita NILILIPIA BIDHAA kutoka Amsterdam mtandaoni, lakini KIASI kama KILE nilicholipia wamekishikilia. Yaani sitaweza kutoa eti mpaka wakamilishe muamala kwa upande wao huko (Kwa mjibu wa CRDB huduma kwa wateja) Naomba kujua yafuatayo: 1. Wote mnaolipia BIDHAA MTANDAONI mnakutana...
  3. Wernery G Kapinga

    STUDENT INFORMATION SYSTEM

    Habari wataalamu wote. Kuna mfumo unaitwa STUDENTS INFORMATION SYSTEM (SIS) Unaoweza Kuwa na features kama vile; 1. Students admission 2. Staff management 3. Classroom management 4. Communication (SMS) 5. Parent management 6. Online admission Mwenye nao Tafadhali tuwasiliane 0754004189
  4. Wernery G Kapinga

    VIPEPERUSHI NA MATANGAZO

    Habari. Nahitaji kutengenezewa vipeperushi na kuprinti vinavyohusu MATANGAZO ya SHULE. Namba ya watsup ni 0754004189.
  5. Wernery G Kapinga

    ONLINE EXAMINATION SOFTWARE

    Habari wadau na wataalamu wa masuala ya software. Mimi ni mwalimu ambaye natafuta Online Examination Software kwa ajili ya wanafunzi wangu kufanya test/mitihani online kwa kutumia Simu au tablet za ndugu zao muhimu TU awe na account yake baada ya kusajiliwa. Mwalimu aweze kuandaa mitihani ya...
  6. Wernery G Kapinga

    Nahitaji Baiskeli

    NATAFUTA BAISKELI kwa ajili ya Mwanangu kwenda shule Kidato Cha kwanza. Budget yangu ni Tsh. 70,000/= Nipo Kilombero Morogoro
  7. Wernery G Kapinga

    Mwenye taaluma ya housekeeping anahitajika

    Mwenye taaluma au Uzoefu wa House KEEPING ANAHITAJIKA. Kituo Cha kazi ni Wilaya ya MBINGA RUVUMA. Kwa mawasiliano zaidi 0621538913 Mshahara Mnono mnoo. Karibu sana
  8. Wernery G Kapinga

    Kilimo cha uyoga

    Mi nipo Kilombero Morogoro. Ngoja nifuatilie huko SUA. Nakushukuru Sana
  9. Wernery G Kapinga

    Kilimo cha uyoga

    Habari wadau wote wa JF. Binafsi Niko kwenye maandalizi ya KILIMO Cha UYOGA. Hivyo nataka nianze kidogo kwa ajili ya familia. Nimesoma na kuangalia kwa umakini kabisa, Nataka nianze kwanza kwa ajili ya familia. Changamoto kwangu ni upatikanaji wa mbegu. Tafadhali mwenye ushauri huu ya hili...
  10. Wernery G Kapinga

    Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

    Walioishia la 7 na form 4 wanamaisha mazuri. Nami nimeshikilia hapo[emoji1][emoji1]
  11. Wernery G Kapinga

    TCB huduma kwa wateja jitafakarini kama mnatosha kuhudumia watu

    App ya kurahisisha miamala benk ya Posta.
  12. Wernery G Kapinga

    TCB huduma kwa wateja jitafakarini kama mnatosha kuhudumia watu

    Natumia TCB Popote App. Tar 01/07/2023 nililipia bidhaa fulani kutoka benk kwenda mtandao wa Tigo. Ikaonesha kuna Shida ya mtandao na kunidokeza nijaribu badae. Baada ya Saa moja hivi, nikajaribu ikaonesha kuwa salio langu halitoshi. Kicheki balance kiasi nilichotoa mara ya Kwanza kimetoka...
  13. Wernery G Kapinga

    Lesson plan for Teachers

    Habari. Mtaalamu wa kutengeneza lesson plan forms ambazo walimu wa shule X watakuwa wanajaza online na kuweza kuprint (PDF) tafadhali tuwasiliane. 255621538913. Pia inaweza ikawa application. Heshima kwenu wataalam.
  14. Wernery G Kapinga

    Biashara ya zao la kahawa

    Ndio. Ila mwaka Huu tunaanza mwezi September. Na bei elekezi itatangazwa mwezi July. Karibu Sana Mbinga
Back
Top Bottom